Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,275
Wamejaliwa, wamebarikiwa.
Dada zenu wa migombani wameshajua hili na wanachangamkia fursa haraka. Ni wasomi kusini nzima (Wamwera na Wamakua). Nina mifano mingi sana ya hili.
Anyway karibuni sana. Ni kweli panya tunakula (ila wale wakubwa sana wa porini na hata baadhi ya vyura), ila ndio utamaduni wetu and We are both intellectual and handsome.
Uzi tayari
Dada zenu wa migombani wameshajua hili na wanachangamkia fursa haraka. Ni wasomi kusini nzima (Wamwera na Wamakua). Nina mifano mingi sana ya hili.
Anyway karibuni sana. Ni kweli panya tunakula (ila wale wakubwa sana wa porini na hata baadhi ya vyura), ila ndio utamaduni wetu and We are both intellectual and handsome.
Uzi tayari
