Dada tafuta hela, kuolewa siyo ajira

Dada tafuta hela, kuolewa siyo ajira

Attachments

  • IMG_2565.jpeg
    IMG_2565.jpeg
    317.1 KB · Views: 3
  • IMG_2443.jpeg
    IMG_2443.jpeg
    425.2 KB · Views: 3
  • IMG_2432.jpeg
    IMG_2432.jpeg
    394.7 KB · Views: 3
  • IMG_2452.jpeg
    IMG_2452.jpeg
    898.3 KB · Views: 3
  • IMG_2454.jpeg
    IMG_2454.jpeg
    900.9 KB · Views: 3
Asilimia ngapi ya wanaume hapa Tanzania wana kipato kizuri cha kuwapa wanawake ndoa za ajira?
 
Yaani. Acha kabisa.

Hapo hapo mwanamke asipoolewa ili atafute hiyo hela kwanza siku akitaka kuolewa watamuita gume gume.

Wanaume wenye maarifa wanapenda kuombwa hela kwa malengo (mtaji)
Hapo utazipata kama anazo kwani anategemea baada ya muda usimuombe tena vihela vidogo vidogo.
 
Heee! Mshahama tena.

Zile mada za kuwasema wanawake kutokuolewa hamuzitaki tena.
Acha tuwachanganye kama mnavyotuchanganya, mweusi , mrefu, kifua kipana, anahela alafu unataka mtoot mweupe😀
 
Back
Top Bottom