Kwahyo kama ulimbikiri mke wangu utakuja kumtembelea?
alifuata kilichomliza,amshukuru yule dada kuwa mkweli,vinginevyo na yeye....wewe umeambiwa kaolewa ulifuata nini?
ukimwi ni kama maleria tuu...tena bora maleria kuliko ukimwi so usiumie sana eti kwakua anaumwa ukimwi ni ugonjwa kama magonjwa mengine.
Wana jamvi, nimejikuta leo nadondosha machozi kwa muda baada ya kumwona dada niliyemtolea bikra yake miaka ishirini na tatu iliyopita. Kwanza kipindi hicho tulikua mkoa wa kanda ya kati mwa Tanzania mimi na familia yetu, hatimae tulihamia mkoa mwingine na kwa kua sim hazikua nyingi tulipotezana sana.
Siku moja nikiwa na mishemishe zangu kweda Msumbiji kwa bahati nikaonana na brother mmoja tuliekua tupo nae enzi zile nikawa nimemuulizia huyu dada akanielza yupo Morogoro na alishaolewa na mfanyakazi wa Tanesco. Mungu si Athumani kwa juhudi zangu zote nilimtafuta na akanielza kweli yupo Mji kasoro bahari.
Nilifika hiyo jana kwake na niliongea nae mengi sana akasema bado ananipenda na akanieleza barua niliyomwandikia kipindi kile moja wapo aliitunza na angetamani tena nimgegede lakini tatizo ni kua sasa ni mwathirika wa HIV na yupo kwenye dozi ya ARV kwa muda sasa. Alilia sana na kunikumbatia bila ajizi, machozi yalianza kunitiririka na mimi lakini namwombea kwa mungu amsaidie kwani kuathirika sio mwisho wa maisha.
wewe umeambiwa kaolewa ulifuata nini?
Halafu wewe inaelekea ni mtu mzima sana; huwa sipendagi vidume vinavyolialia mie. Shame on you.
hahahaaa!!! hawa ndio wanatufanya tusiwaamini wageni wanaokuja majumbani mwetu...alafu utasikia wife anasema...kaka yangu huyuu mtoto wa babu mkubwaa yule wa machame.
nimekupendaaaaaaaaaNadhani haina maana kama mtu niliembikiri basi nisimtafute
milele na ckua na nia ya kugegeda tena ilikua katika urafiki na mahusiano ya kawaida na kwa taarifa yako tu mimi X girlfriends wangu wote hua ni rafiki zangu wakubwa na ninashirikiana nao mambo mengi kwani kuachana sio ugomvi
kama wengi mlivozoea
Kubikiri ni kuumizana tu, sasa uliye naye akitafutwa na aliyembikiri, utafurahi?Kiukweli nimejikuta hadi sasa naumia na kumhurumia sana na nawaza nimfanyie kitu gani kizuri ambacho kitampatia furaha kwa sababu machozi yale yameniuma sana tena sana.
Sikwenda kwa nia mbaya na wala sikumtafuta ili nimgegede hapana naomba nieleweke na hilo limezuka baada ya kuonana nae na kimsingi imeniuma sana.