Dada niliyemtoa bikra ameniliza sana

Dada niliyemtoa bikra ameniliza sana

Hivi wanaume hutafuta wanawake "waliowabikiri" udogoni? Kufafanua: yaani mwanamke wa kwanza ku-do nae
 
Inategemeana unamtafuta kwa nia gani, kama kwa nia njema au vinginevo na mara nyingi hua napenda kuwaona X wangu wote wakiwa ktk furaha na mafanikio makubwa ktk maisha


Hivi wanaume hutafuta wanawake "waliowabikiri" udogoni? Kufafanua: yaani mwanamke wa kwanza ku-do nae
 
kumtafuta kote huko ulitaka kujua kama ile bikra iliota tena ama? What is the motive of your story? Ni kutuambia kuwa ulimtoa bikra/kwamba ameathirika/unampenda ama?
 
Inategemeana unamtafuta kwa nia gani, kama kwa nia njema au vinginevo na mara nyingi hua napenda kuwaona X wangu wote wakiwa ktk furaha na mafanikio makubwa ktk maisha

Halafu "mnafurahia" mafanikio huku mnajikumbusha old good days sio?
 
Jaribu kua muelewa basi mbona unakua kama slow learner wakati unaonekana kiasi una akili akili



kumtafuta kote huko ulitaka kujua kama ile bikra iliota tena ama? What is the motive of your story? Ni kutuambia kuwa ulimtoa bikra/kwamba ameathirika/unampenda ama?
 
pole uwe unawasiliana naye kama sehemu ya kumfariji!usipotee sana,na muulize kama anadhani unaweza kumsaidia kwa namna yeyote ile!!ila kuwa makini usije kupigwa shoti ya umeme na jamaa wa tanesco!
Ushauri gani sasa huu
 
Am confident enough, nililia kwa moyo wa huruma na wala sidhani km inahitaj kushangaa kwa mazingira yale

mbona yule wa katavi alilia au yule mshamba wa simanjiro hukusema ila hata mimi cwapend
 
Mkuu nilimtafuta kwa mema na wala sikua na nia mbaya mkuu

Asingekwambia kuwa ameathirika lazima ungeomba game pia unaposema ulimtafuta kwa mema sio kweli na hii tabia hasa ya kusema ndiyo nilimtoa bikra inawapumbuza sana watu.

Sasa ilibaki kidogo tu ujiletee bhalaa bila kujua.
 
sasa kumtoa bikira means ndo umtumie utakapo old thing
 
Wana jamvi, nimejikuta leo nadondosha machozi kwa muda baada ya kumwona dada niliyemtolea bikra yake miaka ishirini na tatu iliyopita. Kwanza kipindi hicho tulikua mkoa wa kanda ya kati mwa Tanzania mimi na familia yetu, hatimae tulihamia mkoa mwingine na kwa kua sim hazikua nyingi tulipotezana sana. Siku moja nikiwa na mishemishe zangu kweda Msumbiji kwa bahati nikaonana na brother mmoja tuliekua tupo nae enzi zile nikawa nimemuulizia huyu dada akanielza yupo Morogoro na alishaolewa na mfanyakazi wa Tanesco. Mungu si Athumani kwa juhudi zangu zote nilimtafuta na akanielza kweli yupo Mji kasoro bahari. Nilifika hiyo jana kwake na niliongea nae mengi sana akasema bado ananipenda na akanieleza barua niliyomwandikia kipindi kile moja wapo aliitunza na angetamani tena nimgegede lakini tatizo ni kua sasa ni mwathirika wa HIV na yupo kwenye dozi ya ARV kwa muda sasa. Alilia sana na kunikumbatia bila ajizi, machozi yalianza kunitiririka na mimi lakini namwombea kwa mungu amsaidie kwani kuathirika sio mwisho wa maisha.
Kwlei kaka ni kuanza aina nyengine ya maisha
 
ukimwi ni kama maleria tuu...tena bora maleria kuliko ukimwi so usiumie sana eti kwakua anaumwa ukimwi ni ugonjwa kama magonjwa mengine.
 
Wana jamvi, nimejikuta leo nadondosha machozi kwa muda baada ya kumwona dada niliyemtolea bikra yake miaka ishirini na tatu iliyopita. Kwanza kipindi hicho tulikua mkoa wa kanda ya kati mwa Tanzania mimi na familia yetu, hatimae tulihamia mkoa mwingine na kwa kua sim hazikua nyingi tulipotezana sana.

Siku moja nikiwa na mishemishe zangu kweda Msumbiji kwa bahati nikaonana na brother mmoja tuliekua tupo nae enzi zile nikawa nimemuulizia huyu dada akanielza yupo Morogoro na alishaolewa na mfanyakazi wa Tanesco. Mungu si Athumani kwa juhudi zangu zote nilimtafuta na akanielza kweli yupo Mji kasoro bahari.

Nilifika hiyo jana kwake na niliongea nae mengi sana akasema bado ananipenda na akanieleza barua niliyomwandikia kipindi kile moja wapo aliitunza na angetamani tena nimgegede lakini tatizo ni kua sasa ni mwathirika wa HIV na yupo kwenye dozi ya ARV kwa muda sasa. Alilia sana na kunikumbatia bila ajizi, machozi yalianza kunitiririka na mimi lakini namwombea kwa mungu amsaidie kwani kuathirika sio mwisho wa maisha.

kwa hiyo kwa uelewa wako umeona hili ni jambo muhimu saaana la kutujulisha?
 
Kama huna huruma na mwili wako, ukimwi nao hautakuwa na huruma
 
Mishe za Kishamba hizo Jomba !

Tukisema kila mtu amtafute aliye mbikiri si yatakuwa matatizo haya !
Tena mke wa mtu tayari !

Au wewe ndo ulivunjwa Bikra Jomba ?

:msela:
 
Inategemeana unamtafuta kwa nia gani, kama kwa nia njema au vinginevo na mara nyingi hua napenda kuwaona X wangu wote wakiwa ktk furaha na mafanikio makubwa ktk maisha

Kwani ukiwabikiri huwa unawasomesha na kuwapa mtaji..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom