Binadamuu! Jeuri yetu ni ndogo Sana hapo siku ya kufa hakuna atakayependa hata kumsogelea, uzuri wote umbo lote zuri litakuwa thaman ya funza na udongo...
Hao wanaomtaman sasa na wanaomfaidi siku ikifika watamwogopa na hata kukwepa kaburi lake....
Hata kuwa na rafiki tena wala Mtu anayempenda giza totoro upweke na adhabu ya kaburi ndio vitakuwa karibu take...
Haya maisha Haya