Dada mkuu wa darisalama

Katika kumlaumu bwana Madereva hili siwezi kumlaumu hata chembe, tamlaumu kwa mengine ila hili taungana naye najua hata wabunge katika hili wanamuunga mkono pia. Wapo walioenda mbali zaidi na kusema kwanini hakumjengea kagorofa kule upepo unakovuma unaenda kumlipia kodi kwenye vumbi huko.
 
tupia na ya kaka mkuu wa dsm😀
 
Lawama nyingine hazina maana kabisa. Yaani knamlaumu mtu kuangukia sehemu kama hii. Hivi ndege ikipasuka angani kuna abiria atachagua kuanguka nchi kavu? Si kila mtu atamwomba Muumba wake aangukie kwenye maji? Kwa hapa "mungu" wa Dar umepatia mwaya wala wasikuzodoe, kamatia chini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…