Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,505
- 86,054
Sio kwamba huna?? Sema tu ukweli MpwaJuzi kaniomba pesa elfu 30 nimemblock. Nawaza hapa nimpe jibu gani ambalo litamnyoosha asinizoee kabisa.
Yaani sasa sihitaji nanilii yake hata kwa bure
Sio kwamba huna?? Sema tu ukweli MpwaJuzi kaniomba pesa elfu 30 nimemblock. Nawaza hapa nimpe jibu gani ambalo litamnyoosha asinizoee kabisa.
Yaani sasa sihitaji nanilii yake hata kwa bure
Hakuna kipindi ambacho ngono haijawa kipaumbele katika jamii yetu. Ushahidi wa kwanza ni ongezeko letu kiidadi kila sensa.Vijana wa siku hizi tuna akili chache sana, 99% ya ubongo unawaza mapenzi.
Watafunaji huwa hawaongei wala hawana maneno mengi, utaona manyoya tu.Hebu fanya umtafune changamka na wewe
Bora umenisaidia yani mdogo wako huyu kawatia aibu Sana,, ndo kauanza ubaharia msaidieni,, mi mwenyewe na uanamke wangu huu ningekuwa dume nisingefanyiwa huu upuuzi wa kuliwa hela na mzigo nisile na nianze kutafuta huruma kwa watu,, jamaa ana kaufala kakubwa tuWatafunaji huwa hawaongei wala hawana maneno mengi, utaona manyoya tu.
Kwanza dunia ilipofikia ni aibu kwa mwanaume kusema unazungushwa wakati wengine hata chupi hawavai kabisa kurahisisha mchakato.
Niwe tu mkweli, sijawahi kutongoza shemeji, lakini pia sijawahi kukataa nilipotunukiwa. Kuikataa pisi kali ni ngumu sana asikwambie mtuUnataka umle shemeji bila aibu. Mdogo wa mkeo yani??
Kuna wajomba mna ushetani flani hivi.
Sijui anaishi mkoa gani huyo wenye uhaba wa mademu mpaka aje kulialia kuzungushwa.Bora umenisaidia yani mdogo wako huyu kawatia aibu Sana,, ndo kauanza ubaharia msaidieni,, mi mwenyewe na uanamke wangu huu ningekuwa dume nisingefanyiwa huu upuuzi wa kuliwa hela na mzigo nisile na nianze kutafuta huruma kwa watu,, jamaa ana kaufala kakubwa tu
Achapwe viboko kumi na mbili hadharani hakuna namna😂😂😂Sijui anaishi mkoa gani huyo wenye uhaba wa mademu mpaka aje kulialia kuzungushwa.
Kiukweli sijamuelewa, sasa mtu wa hivi ukimpeleka nchi za watu si ataishia kupiga punyeto tu.
umenena mkuuWatafunaji huwa hawaongei wala hawana maneno mengi, utaona manyoya tu.
Kwanza dunia ilipofikia ni aibu kwa mwanaume kusema unazungushwa wakati wengine hata chupi hawavai kabisa kurahisisha mchakato.
AhahahahaSafi sana mpige vikwazo vya kiuchumi, mfanye kama Russia anavyo wafanya waumini wa bara la ulaya
Ulianze kumbe? Mie naona kama kuna kitu ulikosea toka mwanzo!Pesa inauma ujue sometime nilikuwa namlipia kodi natoa karibu laki tatu cash.
.
Ok.Ulianze kumbe? Mie naona kama kuna kitu ulikosea toka mwanzo!
Mwanamke aliyepanga chumba huyo tayari mtu mzima mwenye malengo yake, Huwezi anza kumlipia hadi kodi ya nyumba ilihali hakuna mahusiano ya kinyumba!