Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,131
Hi
Hii ni kwa wadada, wengi wanapenda kitonga, yaani kusaidiwa na wanaume kisha kutoa mzigo hawatoi mpaka utumie nguvu au mbinu za kumvizia.
Dunia Iko kasi, watu hatuna muda wa kubebembeza kitu ambacho hakina maajabu. Tunashobokea kabla hatujakipata tu, tukipata tunaanza kujijutia hasa tukikumbuka gharama za fedha na muda tuliopoteza.
Haka kabinti nilikashushia verse kakakataa katakata kakitia sababu kuwa mimi ni shemeji yake. Nikasema hamna shida ila misaada kwako nitapunguza na kubakisha misaada muhimu tu ya kibinadamu. Kakajibu sawa.
Kakaniomba msaada fulani kama wa laki 3 hivi nikamchomolea. Nikamwambia kwakuwa sisi ni mashemeji ni vyema umuombe dada yako yeye atafikisha kwangu kama patakuwa na ulazima huo.
Hakuweza kufanya hivyo.
Sijui ananijua Mimi limbukeni na ndezi, anakaa wiki ananiomba pesa namnyima, akikaa tena siku tano au wiki ananiomba pesa au kitu fulani nimnunulie namzungusha. Akiniomba hela kidogo ya kula namtumia kwakuwa naijua njaa suluba yake.
Juzi kaniomba pesa elfu 30 nimemblock. Nawaza hapa nimpe jibu gani ambalo litamnyoosha asinizoee kabisa.
Yaani sasa sihitaji nanilii yake hata kwa bure.
Hii ni kwa wadada, wengi wanapenda kitonga, yaani kusaidiwa na wanaume kisha kutoa mzigo hawatoi mpaka utumie nguvu au mbinu za kumvizia.
Dunia Iko kasi, watu hatuna muda wa kubebembeza kitu ambacho hakina maajabu. Tunashobokea kabla hatujakipata tu, tukipata tunaanza kujijutia hasa tukikumbuka gharama za fedha na muda tuliopoteza.
Haka kabinti nilikashushia verse kakakataa katakata kakitia sababu kuwa mimi ni shemeji yake. Nikasema hamna shida ila misaada kwako nitapunguza na kubakisha misaada muhimu tu ya kibinadamu. Kakajibu sawa.
Kakaniomba msaada fulani kama wa laki 3 hivi nikamchomolea. Nikamwambia kwakuwa sisi ni mashemeji ni vyema umuombe dada yako yeye atafikisha kwangu kama patakuwa na ulazima huo.
Hakuweza kufanya hivyo.
Sijui ananijua Mimi limbukeni na ndezi, anakaa wiki ananiomba pesa namnyima, akikaa tena siku tano au wiki ananiomba pesa au kitu fulani nimnunulie namzungusha. Akiniomba hela kidogo ya kula namtumia kwakuwa naijua njaa suluba yake.
Juzi kaniomba pesa elfu 30 nimemblock. Nawaza hapa nimpe jibu gani ambalo litamnyoosha asinizoee kabisa.
Yaani sasa sihitaji nanilii yake hata kwa bure.