mhmm nimepigiwa sana hizi kelele na wazee ndani ya mwezi.
Nimetoa kila sababu awaelewi,mwisho nimewatolea uvivu na kuwambia ukwel.
Wazazi wangu mnataka kuniingiza katika kifungo ambacho bado sijawa na nia ya kuingia kwa sasa.
Baada ya kusema ivyo naona kelele zimepungua.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimetoa kila sababu awaelewi,mwisho nimewatolea uvivu na kuwambia ukwel.
Wazazi wangu mnataka kuniingiza katika kifungo ambacho bado sijawa na nia ya kuingia kwa sasa.
Baada ya kusema ivyo naona kelele zimepungua.
Sent from my iPhone using JamiiForums