Dada ambaye hujaolewa na kaka ambaye hujaoa, unakutana na changamoto zipi katika jamii yako?

Asee kuna the way nyuso za watu zinabadilika once nikiwajibu sijaolewa.
Mama yangu anapenda kuniforce ety niolewe ili nizae watoto watatu her argument is mwanamke akikaa kwenye nyumba yake she is a queen. . Nawaza hao watoto watatu atawalea yeye? Jee nikipata mume wa kunidunda, kunicheat etc bado ntakua queen tu au ntaishia kua single mother ?

Life is like poker, always make sure you have an Ace up your sleeve.

Sent using Jamii Forums mobile app
acha uoga, mindset yako ipo too negative, wangapi wameoa na wapo vizuri tuuu.. n suala la mtazamo, kikubwa nia iwepo
 
Mi huwa naambiwa na ndugu zangu "dogo umri unaenda haujawahi hata kutuonesha shemeji tatizo nini?, mama angu yeye huwa anaongea indirect kwamba sahivi niko "tayari kuanza kulea wajukuu" afu mimi ndye firstborn wake na sina hata mtoto wa kusingiziwa Inshallah wakati utafika tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
utapata ila mwambie shem akanyage mafuta vizur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa naambiwa na ndugu zangu "dogo umri unaenda haujawahi hata kutuonesha shemeji tatizo nini?, mama angu yeye huwa anaongea indirect kwamba sahivi niko "tayari kuanza kulea wajukuu" afu mimi ndye firstborn wake na sina hata mtoto wa kusingiziwa Inshallah wakati utafika tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
Usicheke na kufurahia hiyo hali, kama umri umeshafika kaa chini ujifikirie huenda wachumba wanakuja unawatolea nje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo katika pita pita zangu kwenye mitandao nikakuta mtandao mmoja watu wanatokwa na mapovu si Me si Ke, ikabidi niulize kulikoni ndio naambiwa wamechoka kuulizwa "fulani utaolewa lini? Fulani utaoa lini? Daah! mpaka sasa huna mtoto umri unaenda, utazaa lini?"

Hasa wadada ndiyo wanaonesha wanashambuliwa sana na maswali ya utaolewa lini, utazaa lini?

Seriously jamii zetu za Kiafrica zina mambo ya kufatilia sana ishu za ndoa na kuzaa hivi hawajui wengine hawapendi tu kua committed na mtu, yaani ndivyo alivyo.

Mwingine anapenda a childless relationship; kelele za watoto kwake ni kero ingawa hawachukii watoto (Pediophobia).

Mwingine kubeba mimba na kuzaa anaogopa sana (Tokophobia) anahisi atakufa na yale mastory yao sijui mimba this uchungu that, anaona tobaaaa kifo kileee anakichungulia.

Wengine wanapenda vyote, ndoa na watoto, lakini hawajabahatika kupata wenza wa kuishi nao na kuanzisha familia.

Wengine wamejijua wana matatizo ya uzazi, labda tasa, anaamua kutokujiingiza kwenye ndoa kwa kuhofia kelele za mawifi za kujaza choo pia kumuumiza mwenzi wake pale atakapohitaji mtoto.

Sasa mtu kama huyu ukimwambia "haya kuolewa/kuoa hutaki basi zaa angalau katoto kamoja" anaumia na vile hawezi kukwambia hali yake.

Tuambie kama wewe unapitia changamoto hizo na unazikabili vipi.
Naomba kujua uhusiano wako na Ruby Roze
 
Back
Top Bottom