Dada ambaye hujaolewa na kaka ambaye hujaoa, unakutana na changamoto zipi katika jamii yako?

mhmm nimepigiwa sana hizi kelele na wazee ndani ya mwezi.
Nimetoa kila sababu awaelewi,mwisho nimewatolea uvivu na kuwambia ukwel.
Wazazi wangu mnataka kuniingiza katika kifungo ambacho bado sijawa na nia ya kuingia kwa sasa.
Baada ya kusema ivyo naona kelele zimepungua.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Asee kuna the way nyuso za watu zinabadilika once nikiwajibu sijaolewa.
Mama yangu anapenda kuniforce ety niolewe ili nizae watoto watatu her argument is mwanamke akikaa kwenye nyumba yake she is a queen. . Nawaza hao watoto watatu atawalea yeye? Jee nikipata mume wa kunidunda, kunicheat etc bado ntakua queen tu au ntaishia kua single mother ?

Life is like poker, always make sure you have an Ace up your sleeve.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa tu single, haina shida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto zao
IMG_20200402_085635.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
**** jamaa aliniuliza toka umalize chuo una kama mwaka saiv vp una mtoto nikasema sina
Akanipiga jungu akasema mwana unajitunza
Hivi kwanini mkuu kwa hiyo situation inanikutaga sana sijui huwa wanatushangaa wakati huwa ni maamuzi ya mtu binafsi
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom