Maana yako kwa sasa hakuna tofauti ya aliyesoma na asiyesomaUjumbe huo ungefanya kazi miaka ya 80 huko, wasomi walikuwa wachache
Miaka hii Kila nyumba Ina wasomi na hawana ajira
Otherwise wanatakiwa wajiari kupitia vipaji vyao ama ujuzi wao
Tofauti ipo ila ukiingia kitaa mtu hawezi kuwatofautisha!Maana yako kwa sasa hakuna tofauti ya aliyesoma na asiyesoma
Weed ndo mambo yake hayo inaweza kutupeleka states kumbe upo umetulia zako Moro town.Naweza kuattach file zangu za vyeti vya chuo hapa na wengi waliosoma hawajafika level yangu...
Lakini nimechagua kulima mpunga na nnaulima kweli kiasi kwamba nilipotspone post za ajira mara 2 na sijawahi kujuta...
Muombe mungu uzima na kama umeshindwa kabisa njoo ufanye kazi kwangu ukipata pa kuanzia utaondoka...
Mimi wadau niliosoma nao wote hawana shida ndogo ndogo na 90% wanaishi kupitia maarifa waliyoyapata shuleni, na nimeona waliojifanya kudharau elimu wakiwa vijana wanapambana watoto wao wapate elimu bora.Dunia ya sasa elimu sio dili kuna wana kibao wamesoma wapo kitaa hawajui kesho yao inakuwa vipi na mfumo wa elimu bongo ni mbovu mno
Humu ndani ukikaa vibaya kuna mambo ya kijinga utayabeba.Mimi wadau niliosoma nao wote hawana shida ndogo ndogo na 90% wanaishi kupitia maarifa waliyoyapata shuleni, na nimeona waliojifanya kudharau elimu wakiwa vijana wanapambana watoto wao wapate elimu bora.
Wanaoponda elimu usikute wanalipa milions of money za ada kwa watoto wao.Elimu ni muhimu mno
Sawa nipo njiani nakujaNaweza kuattach file zangu za vyeti vya chuo hapa na wengi waliosoma hawajafika level yangu...
Lakini nimechagua kulima mpunga na nnaulima kweli kiasi kwamba nilipotspone post za ajira mara 2 na sijawahi kujuta...
Muombe mungu uzima na kama umeshindwa kabisa njoo ufanye kazi kwangu ukipata pa kuanzia utaondoka...
Kila binadamu anastahili elimuWanaoponda elimu usikute wanalipa milions of money za ada kwa watoto wao.
Mtu aliyesoma hafu akawa mnafiki wa kupondea elimu na kizazi chake kawapeleka shule namwona ni katili mno kuliko samuya.
kumbe bangi inaitwa weed? Basi ina majina mengiWeed ndo mambo yake hayo inaweza kutupeleka states kumbe upo umetulia zako Moro town.
Never confuse education with intelligence, you can have a PhD and still be an idiot.What do people think about this quote, "I was born intelligent but education ruined me."?