Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Hii kampeni ianze kwa kweliNitakutafuta maa
#kataakuwanaflatscreen#



#kataakuwaflatscreen#
Hii kampeni ianze kwa kweliNitakutafuta maa
#kataakuwanaflatscreen#



Figa namba 8Alafu nafunga mkanda wa tumbo
Nakuwa kiuno nyiguuu alafu gutakoooo gukubwaa
Ewaaaaah nadunda tu
Wakati mwingine natamani niwe natembea na kiooMateso ya kuvunjika spinal code mmeyatafutaaa wenyeweee
Hata vijijin wanaweka vipensiii kigodoro kinapendwaaaNdo habari ya wadada siku hizi
Flat tumeziacha chalinze
Yan kuacha kigodoro siwez labda wengineeeeDah! Akina dada kwa nini msijikubali tu jinsi mlivyo? Hivi ni kweli kuvaa hivyo vigodoro na kuonekana umefungashia ndio chambo ya wanaume?
Ila, wanaume hapa tumewezwa! Udhaifu wetu umeanikwa mchana kweuoe. Tunapendea mashepu, tabia na mwenendo tutajua mbele kwa mbele.
Huu utaratibu wa msichana anapita kuleee kilomita tank unamuona na kusema umempenda, ndio hayo ya ndoa kudumu kwa wiki moja tu! Tunapenda mashepu, tunapokuta magodoro, taaabu tupu!
Nitakuwa naweka maembeee navaa sidiliaa nyonyooooo alafu nabust kama isha mashauzi why




demiss unanini lakini??Hata mm siachi tena kwenye magaun marefuuu whyDuuuh kumbe!
Ila mie siachi kwa kweli
Unapendaa sura nzuriii eeehMimi naanzia usoni bana halafu utafuata sehemu zingine.
Wengine hata sura hawaangalii, wao ni vigodoro tu
Tukikosa hela tutawatega nyuki watung'ate Ili ziwe lips dendaTutafanya plastic surgery hakuna namna![]()






#kataakuwaflatscreen##kataakuwanaflatscreen#
![]()


1. Naona unawaongelea wengine sijajua upande wako. Unapopaka wanja, rosheni kiufupi kujiremba. Huwa mnajiremba kujipendezesha au kuwavutia wanaume?Mnawayumbisha sana hao wanawake zenu mnawafanya wanapaka Mchina wanakuwa na shepu kama Tangawizi
Lait wangejua nimevaaa kigodoroo akiirohoni unasema laiti mngejua
Hakuna sifa yangu hata moja hapo so ni vema nisikujibu1. Naona unawaongelea wengine sijajua upande wako. Unapopaka wanja, rosheni kiufupi kujiremba. Huwa mnajiremba kujipendezesha au kuwavutia wanaume?
2.Hivi ni kwann mwanamke anapopata shida hufikiria kutembea na wanaume kuliko kutafuta kazi halali ya kufanya? Utakuta kabinti ka shule msingi kakikosa sabuni au pedi anaanza kujihusisha na mapenzi ili apate hela au utakuta mwanamke kakosa kodi anatafuta bwana wa kumlipia.
3. Unajisikiaje mwanamke unapokuwa kwenye uhusiano wa wanaume wengi? Leo anakugonga huyu, kesho yule. How do you feel?