Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

aiseee hiyo nikija Dar lazima nikaitafute kariakooo bei gan saivi?
Inategemea
Kwenye machimbo yetu ni 15000/=
Ila kuna wanauza mpaka 30,000/=
Halafu hiyo siyo butt lifter
Ni kigodoro
 
Hiyo Tight bei chee kabisa unapata shepu namba 8
Screenshot_2018-04-05-19-34-14-1.jpg
 
Inategemea
Kwenye machimbo yetu ni 15000/=
Ila kuna wanauza mpaka 30,000/=
Halafu hiyo siyo butt lifter
Ni kigodoro
Shooo itabid nikupiem unitumie kuna gauni langu la mpiraa linataka kigodoro niwe na wowowo zaidi ya hapaa
431952.jpg
 
Poleeee sana kwann?
Kuna mdada mmoja ni babyface halafu very cute na mwili ni mkubwa ila sasa wowowo huo sio wa kawaida.(fake)
Kwa kweli mpaka sisi wazee akipita kama tunaongea huwa tunanyamaza kwa sekunde kadhaa.
Kumbe niliyoyasikia wakati huo ndio nayasoma tena humu
Kwa kweli huu msemo wa kuwa uyaone sijui ntakuwa lini
 
Back
Top Bottom