Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Beiiii cheee napata wowowo15000 tu![]()
Beiiii cheee napata wowowo15000 tu![]()
Inategemeaaiseee hiyo nikija Dar lazima nikaitafute kariakooo bei gan saivi?
Tunaenda nao 50 kwa 50Wale wazee wa kupenda chura tunaenda nao sambamba![]()





Poleeee sana kwann?Duu siamini comments nilizozisoma
Na kashataGAHAWA
Shooo itabid nikupiem unitumie kuna gauni langu la mpiraa linataka kigodoro niwe na wowowo zaidi ya hapaaInategemea
Kwenye machimbo yetu ni 15000/=
Ila kuna wanauza mpaka 30,000/=
Halafu hiyo siyo butt lifter
Ni kigodoro
Waoooh sh ngapi hii tupeane machimboooo
Nakuona mfanyabiashara kazini



Hili livalie zile zinapandisha makalio juuShooo itabid nikupiem unitumie kuna gauni langu la mpiraa linataka kigodoro niwe na wowowo zaidi ya hapaaView attachment 735505
Elfu 20000/= tu usiwaone wadada wa mjini wanadengua dengua confidence wanatoa kwenye hivyo vigodoroWaoooh sh ngapi hii tupeane machimboooo



kigodoro habar ya mjini
Ha ha ha ha ha ba ...........

Nimejitolea kuwatangazia biashara wauza vigodoro wa kariakooNakuona mfanyabiashara kazini![]()



Kuna mdada mmoja ni babyface halafu very cute na mwili ni mkubwa ila sasa wowowo huo sio wa kawaida.(fake)Poleeee sana kwann?
Hapo sasa shepu kama tangawiziShepu ka kiazi kitam nani anataka![]()

