Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

Kuna mdada mmoja ni babyface halafu very cute na mwili ni mkubwa ila sasa wowowo huo sio wa kawaida.(fake)
Kwa kweli mpaka sisi wazee akipita kama tunaongea huwa tunanyamaza kwa sekunde kadhaa.
Kumbe niliyoyasikia wakati huo ndio nayasoma tena humu
Kwa kweli huu msemo wa kuwa uyaone sijui ntakuwa lini
Yan ukiona nimevaaa gauni mpaka chini alafu bongeee la churaaa hapo kuna kigodorooo nakuwa nawachoraa tu mnavyovunjika shingooo
 
Yan ukiona nimevaaa gauni mpaka chini alafu bongeee la churaaa hapo kuna kigodorooo nakuwa nawachoraa tu mnavyovunjika shingooo
Ile butt lifter uipatie kwenye skinny
Unatabasamu tu watu wanavyogeuka
Na kung'oa kucha huko barabarani
 
Picha linaanza nimetokea kumpenda mdada mmoja hivi.Kiukweli ni mrembo haswa kuanzia sura,kifua hadi kwenye nyonga.Nikatoa maneno yangu nikazungushwaaa lakini mwisho wa siku nikapewa nafasi kama mpenzi.

Tukawa tunatoka outing, tunakula na kila tukitembea wanaume wanamtolea macho huyu bidada..

Nikaona yeeees na mimi nina mtu hatari, basi nikawa navimba mwenyewe nikiwa nae maeneo full mahaba.

Za mwizi arobaini siku ya siku ikafika bidada nikamwambia nnavyojisikia kuwa nae na mambo yote kama wapenzi.Akaja geto tukafurahi mastori ma romance nk..

Sasa imefika wakati wa kwenda kula tunda.Nataka kumvua skin jeans ananizuia anataka kuvua mwenyewe. Namwambia plz baby relax let me do it for u.. kakataaa katakata nikaona sio shida.Akaingia bafuni akavua akaja na nguo kashikilia mkononi kwa aibu akaziweka kwenye sofa.

Mhhhhh nikashangaa mbona kakonda ile shepu yote hamna!? Mbona usoni ndio yeye lakini huku chini sio!? Hana hips wala makalio. Ikabidi niangalie vizuri pale alipoweka nguo zake nikaona zimetuna tuna as if kuna nguo nyingi
Dah! mood yote ikaisha..halafu kwa makusudi ananiuliza baby vipi mbona kimya!? "" mwenzio navaa mchina(kigodoro). Nikamuuliza kwa hiyo ndio mana hukutaka nikuvue! Akacheka saana.. dah ikabid nile tu mzigo ntafanyaje.

Kiukweli ni fundi sana ila nashangaa tu kwanini anavaa vile!??
Nataka kumwambia aache kuvaa vigodoro sasa sijui atanielewa au utakuwa ugomvi.

Na sasa hivi anajiachia tukiwa faragha namvua mwenyewe nachukua kigodoro cha mchina nakiangalia yeye huku mbavu hana kwa vicheko.She is very funny to be with.

Dunia ina mambo kiranga chote kimeniisha cha kutaka mishepu.
Vipi hivyo vigodoro alivyow3ka makalioni siku anyeshewe na mvua shape yake itakuaje
Am just thinking loud
 
Back
Top Bottom