Daah Ajira ngumu aisee!

pole sana kaka,,mtumaini mungu kwa kila jambo utafanikiwa,,usikate tamaa
 

Mwambie Mungu asante kwakuwa mwezi huu hautapita bila mimi kupata kazi. I promise mwezi hautapita bila kupata kazi mkuu
 
Ah!! Mbona tayari una ajira. Watu wote hao uliofahamiana nao kwenye mishe za kuomba kazi ni mtaji tosha kukiingiza kipato. Imagine ungekuwa unawauzia vest,socks,pyfume au mashuka. Amka bro.

mtaji wa kununua hayo mashuka,vest na perfum umempa ww au???
 
Amina. Mungu mwezi huu hautapita bila
Mimi kupata kazi. Amina Amina...naamini kwa njia ya Yesu nitapokea muujiza wangu.
 
kaka seminari ipi? pengine wewe ulizaliwa uwe padre, kaongee na farther wako wa miito akupe ushauri wa ziada
 
Wazo zuri kaka. But wito sina wa kua padri@ darubini
 


Mkuu PM tena? Hili ni tatizo la wengi, mwaga jamvini bwana
 
Tuanzie kwenye basics

1. Asilimia ngapi ya mombi yako unaitwa?(<5%)- jaribu kufanyia kazi cv yako, cover letter na viambatanishi....makosa madogo madogo kama spelling error, fonts kachumbari, alignment, pengine na GPA labda ni Dwarf inatosha kum-turn off mtu kukuita....Google how to write a CV and cover letter....Match your CV to the particular JD +organisation...hakuna kitu kama 'one size fits all'. Umesema unaandika barua nyingi unapaste address tu?? Really...

2. Unaomba kazi sehemu gani au kazi zipi?? kwa sifa zako compee ni kubwa sana hasa za watu ambao hata wamekuzidi sifa kwa hivyo sitegemei unaomba kazi za 'accounts tu' maana UDSM+UDOM+IFM+TUMAINI+MUCOBBS+TIA+IAA+MYSORE+BANGALORE+CARDIFFF+ ETC...zinatoa watu wa kutosha kila mwaka wenye sifa na wamejipanga kwa hiyo....expand your grazing field to maximise your niche.......

3. Unaitwa kwenye usaili na kisha unakosa kazi kwa asilimia zipi? je tatizo ni kuwa huna vipawa vya usaili....fanyia kazi confidence, kujieleza vizuri, social skills, body language, research kazi unayoomba na kampuni husika vizuri, onyesha enthusiasm za kutosha hata kama fake, drop a bomb yaani, unawaacha watu dah huyu jamaa katu-impress lazima tumchukue......ongea lugha moja na anayekusaili....tell them what they want to hear......ingia google jipige msasa haswa....invest muda kiasi na resources kama internet+vitabu au hata usaili usio wamalengo kama rehersal ya kazi zenyewe....

4. Unaitwa kazini unagomea maslahi madogo? hapa inabidi ujiangalie kuwa huna hata uzoefu wa kazi, watu hawafahamu utendaji wako kwa hiyo unaweza kuanza mdogo mdogo baada ya mwaka unahamia pengine au utaongezewa kima cha masurufu....

5. Unatafuataje kazi? usilenge tu advertised job.....update profile kule recruitment agency watu wakuone wakuite kwenye intial assessment ushindwe mwenyewe....career tab kwenye 'company portal' etc...

6....

7...
 
Asante kwa ushauri mzuri. Ila hayo mawazo mara nyingi nayafuatilia sana. Naweza kukupa mgano wa Interview mbili nilizowahi kuhudhulia na kushuhudia maksi zangu.

1. Niliwahi kufanya usahili org flani...tulianza kwa usahili wa written...walikua wakitoa majibu palepale ili uweze kwenda next oral interview. Na nakumbuka kwa written niliscore zaidi ya wote..95%....na kwa oral nilifanya vizuri sana. Mpaka ikafikia wakati wa kwenda kuanza kazi. ..then nikaambiwa jina langu halionekani.


2. Ya pili nilifanya taasisi flani...tulifanya written kwanza....na ulitakiwa kupata zaidi ya 50% ndio uingie oral interview. Majibu yalitoka siku hiyo...na tukasomwa watu wote tutakao fanya oral interview siku tatu baadae huku jina langu likiwemo. Siku ya kuripoti kwenye oral..unaambiwa. ...ulisomwa kimakosa..wanakuangalizia wanasema uliskoo 49.5%.....

Nakubaliana na mawazo yako sana. Na nitayafanyia kazi
 
Kwa kuongezea..kama umesoma uzi wangu vizuri. Nimeandika. ..na kutolea mfano kwa mwaka 2012...from January to Dec...kila mwezi nilikua nikiitwa mara moja au mbili. I mean..ilivyokua ikifika jumamosi lazima nipate call ya interview mpaka zingine nikawa nashindwa kwenda kutokana na kukosa nauli.



Kuna file nilitengeneza kwa ajili ya kuhifadhi barua zote nilizokua nikijibiwa kwa njia ya posta.Barua hizi ni zile zilizojibiwa na sehemu nilizopeleka maombi bila sehemu husika kutangaza ajira. So nyingi nilijibiwa.."kwasasa hatuna nafasi uliyoomba. .jaribu kuomba mara utakapoona tumetangaza"

Nilikua nikizihifadhi na zimenisaidia sana kwani...nikiona wametangaza nafasi..naambatisha na hiyo copy kuwaonyesha kwamba niliwahi kuomba kazi kwao na docs zingine.



Kwa mwaka huu toka uanze nimeitwa mara mbili....January na march tu. Mpaka sasa sijaitwa sehemu yeyote koz nafasi nyingi zilitangazwa May na June ndo tunasubiri majibu.
 
Ukifafanua zaidi utakuwa umesaidia wengi aisee

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
....mpaka kuitwa kwenye interview it means...cover letter..cv na viambatisho wamevikubali au sio?..na kwa interview hizo zote...sidhan kama konfidens utashindwa kua nayo..koz sio kitu kigeni kwako. Anyways.....theres a saying goes by.."God's time is the best"....Oneday Yes who knows!!!
 
Shida unaonyesha una nyodo kuna sehemu umeandika unataka kuonana na mwenye "Mbwa" hizo ni nyodo Mungu apendi. back to the tpic pole sana kwa changamoto zinazokukuta usikate tamaa maisha ndivyo yalivyo. jaribu ata kuomba kufanya kazi kwa kujitolea kwenye baadhi ya makampuni.
 
Mkuu acha tu, hata sie ambbao tumemaliza vyuo juzi ni majanga tu. Kwa mfano mimi professional yangu ya banking matatizo tu, hata ukipata nafasi wanataka wakupe gross ya laki 4, kweli? Hii nchi we acha tu!
 
Nisamehe bure...ni lugha tu na niliandika nikiwa na uchungu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…