D9 sio wazee, sio watu wazima, sio vijana, sio watoto kuna mungu kasema

D9 sio wazee, sio watu wazima, sio vijana, sio watoto kuna mungu kasema

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Kuna dalili zimeshaanza kuonekana huyu mfungeni kamba kama msipo fanya hivyo mnaenda kujifunga wenyewe.

Utekaji umekuwa mkubwa sana yani leo hata ambaye sio mpinzani anatekwa.

Ili kundi kuna siku tukija kushtuka familia za wao nazo zitatekwa.

D9 ndio itakuwa machinjio ya kujuana kila aina ya rangi.
 
Kuna dalili zimeshaanza kuonekana huyu mfungeni kamba kama msipo fanya hivyo mnaenda kujifunga wenyewe.

Utekaji umekuwa mkubwa sana yani leo hata ambaye sio mpinzani anatekwa.

Ili kundi kuna siku tukija kushtuka familia za wao nazo zitatekwa.


D9 ndio itakuwa machinjio ya kujuana kila aina ya rangi.
NILIPO WAAMBIA WATANZANIA KUWA KUNA TOFAUTI BAINA YA ...

1)BAINA YA MAVII NA CHAKULA ..japo mavi yanatokana na chakula.

2)BAINA YA ELIMU NA AKILI ...niliwaambia kitabu kina elimu ila hakina akili.

3)BAINA YA SHERIA NA HAKI ...wapumbavu wanasheria walinipinga na jf nikaambulia ban..

Kama nisemavyo MPUMBAVU SIKU ZOTE UJIFUNZA KWA HASARA NA UCHUNGU NA MAUMIVU...sasa tazameni hii video mtajua TOFAUTI ya kinyesi 💩 na chakula 🍝
 

Attachments

  • AQPdOiWH2hYUHdNAxnj7AofhhpPYRhXM5-svwd-2q42UJ4u58aBakSK89cBE1iYm5WSQ83Xf5kLK9RIIriJhsSIJXOcxfySW.mp4
    1.3 MB
Kuna dalili zimeshaanza kuonekana huyu mfungeni kamba kama msipo fanya hivyo mnaenda kujifunga wenyewe.

Utekaji umekuwa mkubwa sana yani leo hata ambaye sio mpinzani anatekwa.

Ili kundi kuna siku tukija kushtuka familia za wao nazo zitatekwa.


D9 ndio itakuwa machinjio ya kujuana kila aina ya rangi.
woyoo woyooo, ni za kichwaa tu na mgegejo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom