D09 hakuna maandamano na internet itakuwapo

D09 hakuna maandamano na internet itakuwapo

Mmeuwa watu elfu 23 plus,unakibuli gani cha kuongea hivyo??,mmezika miili ya wapendwa wetu kama kuku waliokufa na kideli,bado mkawanyima watu kuzika miili ya wapendwa wao,mkapola uchaguzi,bado mnateka,mnabaka,mnalawiti,mnafira na mnauwa,hivi nyinyi ni wanyama au majini??
Hakuna watu 23,000 waliokufa, hizo ni takwimu za kupika kufikia malengo yenu
 
Kuna wajinga na wapumbavu wengi Tanzania ikiwemo mtoa post

Una matatizo ya akili
Kwa kuwa mnadai Dunia ipo nyuma yenu na itawapa full support basi msiache kusoma pia uelekeo wa hiyo “Dunia”

Kesho tokeni mkiamini usenge usenge kwamba kuna mtu atalia kwa niaba yako.

Utapigwa na itakua hasara kwako na familia yako na hakuna kitu chochote kitabadilika.
 
Kwa kuwa mnadai Dunia ipo nyuma yenu na itawapa full support basi msiache kusoma pia uelekeo wa hiyo “Dunia”

Kesho tokeni mkiamini usenge usenge kwamba kuna mtu atalia kwa niaba yako.

Utapigwa na itakua hasara kwako na familia yako na hakuna kitu chochote kitabadilika.
Kwani wale mliowateka ni kwa faida ya nchi?
 
Kwa kuwa mnadai Dunia ipo nyuma yenu na itawapa full support basi msiache kusoma pia uelekeo wa hiyo “Dunia”

Kesho tokeni mkiamini usenge usenge kwamba kuna mtu atalia kwa niaba yako.

Utapigwa na itakua hasara kwako na familia yako na hakuna kitu chochote kitabadilika.
Sasa mbona unawahurumia wandamanaji kuliko familia yako
 
Back
Top Bottom