Cynthia Masasi: Basi sawaaa...!!!

Cynthia Masasi: Basi sawaaa...!!!

Status
Not open for further replies.
Jamani huyu dada alivyo mzuri ....yaani demu wangu namuona kama Dr Remmy Ongala! najiona sina bahati kabisa!
Hakuna mwanamke mbaya duniani ila wapo ambao hawatunzwi vizuri,wewe ndiye ambaye hujui kumtunza,mpendezeshe huyo my girlfriend wako,halafu utakuja kuniambia.
Nalog off
 
Too much make up na huu wanja wa sina bwana siupendii...Sijui wadada wanaupendea nini hata haupendezi wallahi!!Why does anyone need false lashes? atleast zikaribie reality basi...hapo kila mtu anajua kabandika makopeee:confused2:

hahahaaa mimi49 umenichekeshajeeee, eti wanja wa sina bwana lol!
 
Last edited by a moderator:
Too much make up na huu wanja wa sina bwana siupendii...Sijui wadada wanaupendea nini hata haupendezi wallahi!!Why does anyone need false lashes? atleast zikaribie reality basi...hapo kila mtu anajua kabandika makopeee:confused2:

Ya mchina haiwezi kulingana na asili iliyowekwa na Mungu.Hiki wanachofanya ni kutukuza ushetani tu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
sijaelewa wadau, ina maana biashara ya porb movie hii ni nani au yule yule aliye kwenye thread?

sio huyo aliye kwenye thread...ni huyo mwingine pic yake

ilowekwa tena......sijui umeelewa sasa
 
Jamani huyu dada alivyo mzuri ....yaani demu wangu namuona kama Dr Remmy Ongala! najiona sina bahati kabisa!

Mnunulie makeup za kutosha, fake eyelashes, human hair wigs, na push-up bras uone kama naye hatakuwa mrembo...
 
Na huyu pia Mbongo mwenzetu anaitwa Ida, unamuonaje?

528208_10152264833999899_949219317_n.jpg

H on Earth; una maanisha huyu anacheza zile movie za hatari kama slim au big ass porn movies!? Zile zinazotumwa mitandaoni? Sababu ni nini hasa uhuni uliopitiliza au usuperstar au umaskini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom