Cynthia Masasi: Basi sawaaa...!!!

Cynthia Masasi: Basi sawaaa...!!!

Status
Not open for further replies.
Ukikosa pesa wadada wazuri wa mujin utabakia kuwaita shemeji, Neema za Allah wacha tufurahie uumbaji wake
 
Haya mambo yaache yalivyo piga bia zako ulale!wanawake wazuri wanachipua kama mbegu za mchicha!
 
Wala haitaji avatar kujiandikisha Jamii Forum. Nampenda kwa jinsi alivyo kwani hana vituko kama mastaa uchwara wa kibongo kila kukicha kugawa papuchi na kuibiana midume. Wengine wanaenda hotelini kusubiri wala popo ili wajigawe na kumwagiwa shahawa kisha wakajisifie samaki samaki ama huko uchochoroni kuwa walikuwa sodomized, haibu kweli.
 
Ukikosa pesa wadada wazuri wa mujin utabakia kuwaita shemeji, Neema za Allah wacha tufurahie uumbaji wake

We acha2 mkuu, tungekua tunalipia kuangalia basi wengi tungesanda!
 
Wala haitaji avatar kujiandikisha Jamii Forum. Nampenda kwa jinsi alivyo kwani hana vituko kama mastaa uchwara wa kibongo kila kukicha kugawa papuchi na kuibiana midume. Wengine wanaenda hotelini kusubiri wala popo ili wajigawe na kumwagiwa shahawa kisha wakajisifie samaki samaki ama huko uchochoroni kuwa walikuwa sodomized, haibu kweli.

Mkuu umenena, hawa wengine hadi watembeze maliasili kwa wawekezaji ndio nao waoneshe jeuri kututishia walala hoi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom