Cynthia Masasi: Basi sawaaa...!!!

Cynthia Masasi: Basi sawaaa...!!!

Status
Not open for further replies.
Drug dealers....catalunya z the branch
 
mkuu alikua deported baada ya kupiga mipunga flani hivi ye na bwana wake Richard Mziray ndio wakarudi bongo kuseto na kufunga ndoa. Saivi wanaishi Mbezi Beach huku.

Basi nikajua alirejea tena States....
 
Na huyu pia Mbongo mwenzetu anaitwa Ida, unamuonaje?

528208_10152264833999899_949219317_n.jpg

Ida amenikuna zaidi
 
Too much make up na huu wanja wa sina bwana siupendii...Sijui wadada wanaupendea nini hata haupendezi wallahi!!Why does anyone need false lashes? atleast zikaribie reality basi...hapo kila mtu anajua kabandika makopeee:confused2:

We kama mimi mkuu, I second !
 
Kijana after kupiga box unaenda kumalizia visenti vyako kwa huyo mlupo
 
Unataka kuniambia upo ulipo hamna wachumba was maana
 
Haya bana wewe dili na magubaguba,
 
Cynthia amjejaliwa uzuri pengine kuliko bongo female celebrities wote.
Go Cindy!!
 
mkuu alikua deported baada ya kupiga mipunga flani hivi ye na bwana wake Richard Mziray ndio wakarudi bongo kuseto na kufunga ndoa. Saivi wanaishi Mbezi Beach huku.

Kumbe karudi kula vumbi! Hivi Ritz hajamwona huyu?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom