Cyber security

saede mbondela

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
368
Reaction score
237
Wadau wa elimu nipeni ushauri khusu hii facult mpya nchini kwetu TZ mambo ya usalama wa kimtandao(cyber security) kwa ambae labda anilewa vzuri.je inasoko?
kuna ndugu ananiambia facult kama hizi hua zinakuja kwa mbwembwe kisha baada ya muda hufifia na wataalamu hubaki mtaa bila kazi ni kweli? kwa wale wenye uzoefu fungukeni
 

facult mpya nchini kwetu TZ??? sijaelewa
 
kwani ipo chuo gani ???na kwa ngazi gani degree au diploma???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…