CWT yapinga walimu kusafiri bure

Wazo Zuri Lakn Kumbuka Askari Wanaishi Sehemu1 Wakat Walimu Wanaishi Sehemu Tofauti Tena Si Kwa Umoja
 
kwan wameambiwa walimu hawawezi kumdu naul kwenye daladala au ?
 
Bizzle for shizzle umeongea jambo la msingi sana kiukweli hawa walimu kama ni shida tu wanayo nina rafiki yangu mwalimu sametimes huwa na muonea huruma sana tokea michango ifutwe mashuleni hata msosi tu wakula mchana ishu akipata mshahara tu analipia madeni kwa mangi yani anaishi kibishi sana
 
Hii nchi hiii
Walimu shida yao si usafiri
Shida ni kipato kidogo
 
Sifa nyingine bwana ni hatari,sasa hata mwalimu hujaongea nae kama anashida ya nauli,unakurupuka tu ,unataka wasafiri bure kwenye daladala!!basi waambie wakachukue na mboga bure kariakoo!!!
Hawakulazimishwa, kama hawataki si waendelee kulipa nauli tu kwani Kuna shida?
 
Angesema wanafunzi wapande bure kidogo ningemuona anafikra pevu lakini kwa hili la waalimu kachemka tena sana tu.
 
unajua watu wanaichukulia hii issue ni kama vile Amri imetolewa kumbe wala... asiye taka hachukui kitambulisho anayetaka anapewa ... take it as a favor mnapewa na wamiliki wa mabasi kutokana na mchango wenu kwa watoto wao na sio sheria
Good comment!!!
 
Serikali inabidi iruhusu hata kutukana mara moja kwa mwezi tusi kubwakubwa huyu rais wa chama cha walimu ni wa hovyo sana na siku akija mchapakazi na anaejali maslahi ya walimu watu ndio wataamka na kutaman kumnyonga huyu jamaa yeye anachojua nikutafuta upenyo apige hela tu makonda kambania safi sana,kabla hajakataa atueleze walimu gani wamesaidiwa na chama chake na michango yao ni lini matumizi yatakua wazi kwa kila mwanachama, jinga sana.
 
inawezekana ata kama wanaishi sehemu tofauti... wanaweza kuanzisha route moja ndefu kupitia barabara zote kubwa....

Tena kama ikiwa ni "integrated plan" inayohusisha manispaa zote za jiji la Dar-es-salaam itakua ni rahisi zaid... itampunguzia gharama mtumishi wa manispaa...

mfano anakaa charambe anahitaji kulipia 400 mpaka rangi tatu alaf badala ya kulipia 600 mpaka mwenge anapofanyia kazi inabid apande staff bus la manispaa kupunguza gharama....

mbezi-kkoo (morogoro road)

mbagala-kawe-msasani (kawawa road)

G.mboto-mnazi mmoja!! (pugu road... nyerere road)

mwenge-mbagala (mandela road)

Bunju-posta (bagamoyo na mwinyi road)

kinyerezi na Tabata wanakua na route yao.... n.k
 
Sifa nyingine bwana ni hatari,sasa hata mwalimu hujaongea nae kama anashida ya nauli,unakurupuka tu ,unataka wasafiri bure kwenye daladala!!basi waambie wakachukue na mboga bure kariakoo!!!
mkuu hata mimi nachukia juu ya kukurupuka kwa huyu mfuta viatu ila hapa nampa
yule rais kilaza walimu wanamchukia sana.
 
Kwa hiyo na askari ambao hawalipi nauli nao wamedhalilishwa??
 
Nina msimamo wangu juu ya Makonda, nikisikia tamko lakupinga ametoa kiongozi wa UKAWA au mwanaharakati mwingine nitatafakari mawazo yake ILA, Mkoba wewe ni Jipu, Mnyonyaji wa wa walimu, na tunatafakari jinsi ya kukutumbua. Kifupi hauna sifa wala haustahili kuongea kwa niaba ya Mwalimu. HAUNA TOFAUTI NA WALE VIONGOZI WANAOBAKA DEMOKRASIA. Unabahati ya sheria za mtandao. TENA WALIMU WANAHASIRA NA WEWE LAITI UNGELIJUA....
 
Misifa.Afu kibaya zaidi katoa tangazo la kimkoa bila kumshirikisha hata mkuu wa mkoa.
 
Hiyo lift na allowance ni kwa walimu tu au na watumishi wote wa serikali??

Kama ni kwa walimu tu, why?? Kwani watumishi Wengine km manesi, wahudumu wa ofisi, makatibu muhutasi, watunza kumbukumbu, walinzi, watendaji wa vijiji na mitaa etc, etc wao hawastahili hiyo allowance na lift?
 
Kwa hiyo makonda awalipe mshahara mnono walimu na kuwalipa malimbikizo yao??
 
Iko vere simpo, hutaki kupanda bure, ingia kimya kimya kisha lipa, kelele za nini???
 
Walimu kupanda daladala bure si.kipaumbele kabisa. Hata hivyo hiyo hela ya daladala ni ndogo kwa mwalimu kuimudu. Shida ni.fedheha watakayokuwa wanapata wakati wa kupanda hayo magari kwa sababu makonda kaingia makubsliano na wenye magari si madereva wala makondakta,ni aibu kwa mtu mzima kuitwa maiti. Hii nilishuhudia wakati wanajeshi wakipanda bure haya madaladala utasikia hiyo maiti sijui picha itakuwaje kwa waalimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…