Alafu Kuna wajinga wengi wanadai walimu hawawez kutetea maslah yao kisa hawana div 1 Kama kada zingine
Sasa swal langu dogo naomba nijibiwe kwa kupewa mifano ,je Ni kada ipi ambayo inajielewa na ikatetea maslah yao na maslahi yao yakapatikana kuanzia 2015-2020 maana isiwe mnarusha tu lawama kwa walimu wakat kila sekta uoga Ni ule ule .tafadhar nipen jina la sekta ambao sio waoga