CWT: NHC haitufai kwa lolote

CWT: NHC haitufai kwa lolote

Bei ya kiwanja cha serikali haizidi 1.5 Mil lakini makampuni yananunua na kuuza 10 Mil. NHC inauzwa nyumba 50 Mil kwa mshahara upi? Nyumba ya 15 Mil wao wauza 50 Mil, je 50 Mil ni being rahisi kwa mtanzania.
hiyo bei ya kiwanja labda uende Nkasi lakini humu mijini viwanja bei mbaya saana bado miundombinu ya barabara, maji na umeme kumbuka hawa NHC hawanunui viwanja ambavyo ni serviced wananununua plot maeneo makubwa na kupanga miji wenyewe kwa kushirikiana na halmashauri
 
Habari nilizozipata kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha Walimu Tanzania(CWT) nikwamba mpaka sasa hakuna hata mwalimu mmoja aliyefanikiwa kuweza kukopa au kununua nyumba za NHC Tanzania nzima.

Walimu wanashangaa NHC kugeuka kuwa shirika lenye mlengo wa kibepari na sii la kuwahudumia watanzania wenye kipato cha chini na kati, na wamepanga kufikisha malalamiko yao officially kwa mkuu wa nchi

MY TAKE:
TUICO na TUCTA tunaomba mtupe mrejesho pia, NHC inatumika kwa manufaa ya wenye pesa nzito nzito.
Mkuu hii habari ni ya kutunga haina uhalisia hivi huyu Mukoba ninayemjua mimi anaweza kuficha identity kwa habari kama hii. Habari haina authenticity ni utunzi wa mleta mada kwa maslahi yake.Toa data ndo tujadili.No data no right to speak
 
Mkuu hii habari ni ya kutunga haina uhalisia hivi huyu Mukoba ninayemjua mimi anaweza kuficha identity kwa habari kama hii. Habari haina authenticity ni utunzi wa mleta mada kwa maslahi yake.Toa data ndo tujadili.No data no right to speak

Mkoba yupo TUCTA sio CWT.
 
Bei ya kiwanja cha serikali haizidi 1.5 Mil lakini makampuni yananunua na kuuza 10 Mil. NHC inauzwa nyumba 50 Mil kwa mshahara upi? Nyumba ya 15 Mil wao wauza 50 Mil, je 50 Mil ni being rahisi kwa mtanzania.

Nyumba 15m? Acha utani...!!! NHC wanakopa pesa benki ili kujenga, wanalipa pamoja na riba, hawapewi hela na serikali ili wawajengee nyumba 'wananchi', ulitegemea nini? Ni wakati sasa tuondoke katika fikra hizo, mbona hao CWT hawajengi nyumba za 15m?
 
wanacho fanya NHC ni kujitajirisha.

Viongozi wote walio katika menejiment ya NHC WAMEKOPESHWA MAGARI MAPYA KABISA NA BADO WANATUMIA MAGARI YA KAMPUNI NA AMBAYO I MAPYA PIA !

VIONGOZI WA JUU KAZI YAO KUZUNGUKA TU SAFARI HAZIISHI NCHINI NA NJE WANATUMIA SANA PESA ZA SERIKALI BILA KUULIZWA !

KILA KIONGOZI WA NHC KTK MANAGEMENT TEAM AMESHAJENGA JUMBA LA KIFAHARI KTK MUDA MFUPI TU WALIOAKAA KAZINI.TUJIULIZE MARA HII PESA WAMETOA WAPI ?

TAKUKURU MKO WAPI HAWA JAMA WANA PESA NI BALAA.WANAZIPATA WAPI ?

Ukiona watu wanajisifia ujue kuna kitu wanaficha. Hawa NHC wanajisifia sana na kutoa mashine za matofari, ukitaka kuiba bila kushitukiwa buni mradi, utazichota tu!
 
Nyumba 15m? Acha utani...!!! NHC wanakopa pesa benki ili kujenga, wanalipa pamoja na riba, hawapewi hela na serikali ili wawajengee nyumba 'wananchi', ulitegemea nini? Ni wakati sasa tuondoke katika fikra hizo, mbona hao CWT hawajengi nyumba za 15m?

Ni mtumishi yupi Wa serikali ambayo atatoa 10% ya 50 Mil. siku ya ununuzi halafu amalizie ndani ya siku 30. Useme ukweli. NHC waseme wanawajengea nyumba makampuni si wanançhi Wa kawaida. Haiwezekani ndani ya mwezi mmoja apartment au nyumba zote zimeuzwa.???
 
Ni mtumishi yupi Wa serikali ambayo atatoa 10% ya 50 Mil. siku ya ununuzi halafu amalizie ndani ya siku 30. Useme ukweli. NHC waseme wanawajengea nyumba makampuni si wanançhi Wa kawaida. Haiwezekani ndani ya mwezi mmoja apartment au nyumba zote zimeuzwa.???


Lazima tukubali NHC wanafanya biashara, mambo ya 'kutoa huduma' hayapo tena kwao. Lazima shirika lijiendeshe.
 
Habari nilizozipata kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha Walimu Tanzania(CWT) nikwamba mpaka sasa hakuna hata mwalimu mmoja aliyefanikiwa kuweza kukopa au kununua nyumba za NHC Tanzania nzima.

Walimu wanashangaa NHC kugeuka kuwa shirika lenye mlengo wa kibepari na sii la kuwahudumia watanzania wenye kipato cha chini na kati, na wamepanga kufikisha malalamiko yao officially kwa mkuu wa nchi

MY TAKE:
TUICO na TUCTA tunaomba mtupe mrejesho pia, NHC inatumika kwa manufaa ya wenye pesa nzito nzito.

mkuu hapo kwenye ishu ya kiwanja bei si hiyo uliyoiandika kwani sp mita moja ni Tsh 7000 sasa zidisha Mara sp mita unazozitaka jibu ulipata ndio being ya kiwanja mjini
 
Hebu mukajaribu nyinyi kujenga nyumba ya milioni 10 ambayo iko kwenye surveyed area muone kama inawezekana.

Watanzania tu wepesi sana kwa kulaumu kila kitu. Nani kasema hata huko Ulaya na Marekani kwamba watu wote wanamiliki nyumba?
 
Hebu mukajaribu nyinyi kujenga nyumba ya milioni 10 ambayo iko kwenye surveyed area muone kama inawezekana.

Watanzania tu wepesi sana kwa kulaumu kila kitu. Nani kasema hata huko Ulaya na Marekani kwamba watu wote wanamiliki nyumba?

Labda hao walimu wangesema wanataka nhc iwauzie nyumba kwa sh ngapi?
Kingine mkuu umenichekesha nyumba ya 10mln Hahaha
 
Hebu mukajaribu nyinyi kujenga nyumba ya milioni 10 ambayo iko kwenye surveyed area muone kama inawezekana.

Watanzania tu wepesi sana kwa kulaumu kila kitu. Nani kasema hata huko Ulaya na Marekani kwamba watu wote wanamiliki nyumba?


Kweli!!! Kuna mtu eti kasema kiwanja kinauzwa 1.5m, seriously? Haiwezekani wote tumiliki nyumba, suala la nyumba ni uwezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom