SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,836
- 1,845
Habari nilizozipata kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha Walimu Tanzania(CWT) nikwamba mpaka sasa hakuna hata mwalimu mmoja aliyefanikiwa kuweza kukopa au kununua nyumba za NHC Tanzania nzima.
Walimu wanashangaa NHC kugeuka kuwa shirika lenye mlengo wa kibepari na sii la kuwahudumia watanzania wenye kipato cha chini na kati, na wamepanga kufikisha malalamiko yao officially kwa mkuu wa nchi
MY TAKE:
TUICO na TUCTA tunaomba mtupe mrejesho pia, NHC inatumika kwa manufaa ya wenye pesa nzito nzito.
Walimu wanashangaa NHC kugeuka kuwa shirika lenye mlengo wa kibepari na sii la kuwahudumia watanzania wenye kipato cha chini na kati, na wamepanga kufikisha malalamiko yao officially kwa mkuu wa nchi
MY TAKE:
TUICO na TUCTA tunaomba mtupe mrejesho pia, NHC inatumika kwa manufaa ya wenye pesa nzito nzito.