Asilimia 90 ya CURRICULUM VITAE za wake za watu wanao omba kazi kwenye kampuni na mashirika mbalimbali , kwenye sehemu ya MARITAL STATUS zao wameandika wapo SINGLE.. Ukifundua mke wako ameandika yupo Single kwenye CV yake utachukuliaje hiyo?
Yesuuu na Maria..... halafu baada ya hapo unapita majiani kulalama kuhusu rushwa ya ngono wakati mwenyewe umejiwekea ''meridi bati availebo''.For obvious reasons, kupata kazi kwa njia za kike.
Yesuuu na Maria..... halafu baada ya hapo unapita majiani kulalama kuhusu rushwa ya ngono wakati mwenyewe umejiwekea ''meridi bati availebo''.
Asilimia 90 ya CURRICULUM VITAE za wake za watu wanao omba kazi kwenye kampuni na mashirika mbalimbali , kwenye sehemu ya MARITAL STATUS zao wameandika wapo SINGLE.. Ukifundua mke wako ameandika yupo Single kwenye CV yake utachukuliaje hiyo?
Wee, huo ugali uje kwa njia halali banaa.... Yaani we ugegedwe in the name of ugali kuingia kwa nyumba.... NO WAY..... Ugali wa hivyo labda uupeleke kwenu.unam support asilimia 100 maana ni jitihada za kuleta ugali kunyumba
Ili wajue kama ni medical, itakava wangapi.... usijitoe akili banaa...Marital status kwenye resume inayotumiwa kuombea kazi inahusu nini?
Mambo mengine bana...
Asilimia 90 ya CURRICULUM VITAE za wake za watu wanao omba kazi kwenye kampuni na mashirika mbalimbali , kwenye sehemu ya MARITAL STATUS zao wameandika wapo SINGLE..
Ili wajue kama ni medical, itakava wangapi.... usijitoe akili banaa...