Si lazima wakuletee,we jaribu kuchungulia mwenyewe na utoe hoja hapa, we mwanasiasa gani unataka kulumbana kusiko msingi hapa? Lukuvi ni Chf Whip nani yuko upande wa pili. Angalia usijiharibie staha kdogo waliyokupa vjana wenzio. Elimu ya Lukuvi si ya waziri wa miaka hii.