Wadau!
Mwenye cv ya huyu mtu aweke hapa maana hakika serikali imeamua ikajidhalilishe kwa kumtumia huyu jamaa maana licha ya kuwa alikuwa mkurugenzi kiwanda cha nyama ila anamaisha ya kihuni- huni, kama uvaaji wa jeans mlegezo,chain kubwa, kofia kugeuzia nyuma kama 50 cent yuko kukwaani sasa kweli kuna Dc hapa? Labda abadilike....ila kama una Cv weka hapa...,
Mwenye cv ya huyu mtu aweke hapa maana hakika serikali imeamua ikajidhalilishe kwa kumtumia huyu jamaa maana licha ya kuwa alikuwa mkurugenzi kiwanda cha nyama ila anamaisha ya kihuni- huni, kama uvaaji wa jeans mlegezo,chain kubwa, kofia kugeuzia nyuma kama 50 cent yuko kukwaani sasa kweli kuna Dc hapa? Labda abadilike....ila kama una Cv weka hapa...,