Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,874
Doma utashambuliwa sana humu jamvini,jamaa ana washkaji wengi humu nashangaa mbona Cv za wengine mnaponda hii mnatetea.Jamaa amesoma Forest sec. morogoro enzi hizo baba Rc wa moro badaye akaingia chuo cha diplomasia Kurasini kwa ajili ya diploma,baada ya hapo alienda UK sijui alisoma/alimaliza nini huko then akarejea bongo.
Ni kweli alisoma Forest ila alikosa credit za kufanya mtihan wa 'A' level na akaenda CBE pale