CPA. Huu ukuu wa wilaya waliogawiwa watoto wa viongozi wa sasa na wa zamani ni ndoano ya kuwalainisha wazazi wao ktk mpango mzima wa mukulu kumpitisha mtu wake anayemtaka kugombea kupitia CCM,2015!Primary na secondary Amesoma arusha shule (international school) jina la shule sikumbuki. Akija likizo (sumbawanga) baba yake (mzee mzindakaya) alikuwa anamlete shulen kwetu kupoteza muda ,mwalimu wetu wa english alikuwa anapenda kumpa kitabu asome, si unaelewa mambo ya primary shule za kanumba Alikuwa anamwaga ung'eng'e, si wengine hoi. Degree kapatia uganda yeye na mdogo wake jackline, masterz kapatia malaysia . Tumecheza nae sana basket ball viwanja vya uzungun a.k.a compound. Ameoa demu wa ki-malaysia. Aliporudi tanzania, akapewa kazi kwenye kampuni ya baba yake, kiwanda cha nyama sumbawanga. Nasikia baba yake alitaka awe mbunge 2010, lakin watu wakakataa. Hayo ndio machache nayo yajua kuusa paul.
My take: kumpa u-DC ni kama kumvalisha viatu over size.
Kuna demu mmoja namfahamu alikua mgombea ubunge viti maalumu CCM kupitia Tanga alikua ndo kama wife wa Jamaa, kwa sasa anapiga MBA mzumbe, huyo M-Malaysia katokea wapi??Primary na secondary Amesoma arusha shule (international school) jina la shule sikumbuki. Akija likizo (sumbawanga) baba yake (mzee mzindakaya) alikuwa anamlete shulen kwetu kupoteza muda ,mwalimu wetu wa english alikuwa anapenda kumpa kitabu asome, si unaelewa mambo ya primary shule za kanumba Alikuwa anamwaga ung'eng'e, si wengine hoi. Degree kapatia uganda yeye na mdogo wake jackline, masterz kapatia malaysia . Tumecheza nae sana basket ball viwanja vya uzungun a.k.a compound. Ameoa demu wa ki-malaysia. Aliporudi tanzania, akapewa kazi kwenye kampuni ya baba yake, kiwanda cha nyama sumbawanga. Nasikia baba yake alitaka awe mbunge 2010, lakin watu wakakataa. Hayo ndio machache nayo yajua kuusa paul.
My take: kumpa u-DC ni kama kumvalisha viatu over size.
Batoto ba bakubwa bana chukuaga nafasi za baba zao,ninahakika hivi vyeo wanapewa baada ya baba zao kuahidi kuwa tuko pamoja ''KUYAVUA MAGWANDA'',yaani siku hizi ni kama uchief umerudi CCM na serikali yake,akina Kawawa wako sijui wanne,wengine wabunge n,k,akina Mwiyi nao wako bize,akina Bilali ,wale wa Mtera,kwa akina baba wa taifa nao hawakosekani,akina Nnauye,Rizi 1,akina Malima,Mzindakaya,wale wa mzee wa porojo Mgosi Makamba, hakika msururu ni mreeeeeeeefu,ni wao tuDoma utashambuliwa sana humu jamvini,jamaa ana washkaji wengi humu nashangaa mbona Cv za wengine mnaponda hii mnatetea.Jamaa amesoma Forest sec. morogoro enzi hizo baba Rc wa moro badaye akaingia chuo cha diplomasia Kurasini kwa ajili ya diploma,baada ya hapo alienda UK sijui alisoma/alimaliza nini huko then akarejea bongo.
unataka avaeje?
Hao wanaovaa vizuri kukidhi yanayoujaza moyo wako ndo hao wametufikisha hapa!!
kama una ugomvi nae mkapambanie huko unakomwona akiwa mlegezo sio humu jamvini
SHAME ON U,ask urself dat silly question! kumbe unajiona ulivo **** na mjinga km unaona ni kitu kidogo ukuu wa wilaya kwanini ukaandika msg ya kipumbavu wch means imekuuma.so far i never argue wth fools n the nxt thing is 2 block u,wanaume wengne km mashoga duu!! ishi maisha yako achana na mzinda's u looser!! on top ov dat mzee wetu alishakua waziri wkt wa nyerere so if it happens akapata another fam member dat aint gonna b strange 2 our family...poleey
Let's hope atabadilika.
Nakubaliana na maelezo yako, usimhukumu mtu kwa uvaaji wake...mhukumu kwa matendo yake.
Nakubaliana na maelezo yako, usimhukumu mtu kwa uvaaji wake...mhukumu kwa matendo yake.