CV ya Pascal Mayalla

makubwa
 
Naona mleta mada ameshapata mahali anapopatikana P.Mayala aende tu akaonane na mhusika maswali yake yatajibiwa kwa ufasaha na akumbuke kuja na mrejesho.
 
y nadhani unajuwa kuwa yumo humu JF so y usimpm tu ili akupe hiyo cv
 
Jina Mayalla kwa Kisukuma ni njaa
msamiati njaa unamaana kubwa Sana kwa watu wanaojitambua . haupaswi kutazamwa kama njaa tu yakula...

Bali kuna wenye Njaa ya mafanikio ..
njaa yakuwa na weledi mpana wa kufikiri
njaa ya kuwa na familia iliyobora
e.t.c
so kama jina LA mayala litakuwa kweli na maana hii basi litakuwa nijina lenye maana kubwa sana ..halipaswa kutazamwa kuwa ninjaa tu njaa yakuhitaji shibe baada ya kula...
 
Mleta uzi ni wa lumumba? Sijamuelewa shida yake ni nini. Au anamfuatilia baada ya kuzuia yule aletaka kumkwida Nape kwenye lile sakata la Bashite na clouds!!
 
Kwanini aliacha?

Muda ulifika?

Alifukuzwa utumishi?

Aligomea mkataba?

Unampa asilimia ngapi kua anaweza kua TISS?
Sijui kwa nini aliacha pengine ni kutokana na maslahi duni yaliyokuwepo kwa Wanajeshi kwa wakati hupo. Nampa asilimia 50 kuwa ni ajenti wa TISS.
 
Mayala namba ya simu ili nkupigie nijue mambo ya Sabasaba
 
Kwa haraka haraka nilisikia kwa kiongozi fulani wa bunge akisema ana kadigree ..
Ila ngoja aje kwa ufafanuzi zaidi
 

Mkuu? Umenishangaza kwakweli. Hiyo bar inaitwaje kwasasa?
 
Umesahau kuwa ni wa Kijitonyama pia
 
Ngosha haridhiki na elimu, fikra, fani yake, uzalendo au kutaka usawa, maendeleo na haki kwa kila raia...
Ni kamanda kweli kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…