CV ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (Kibajaji)

Status
Not open for further replies.
mbona wakati wa cv za wabunge wa chadema mlisema shule siyo hoja bali hoja ni utendaji wa kazi ? ushauri wangu tusiwe na double standard kama kuwaponda wote wasiokuwa na shule basi tuwaponde kuanzia freeman mbowe kama kuangalia utendaji wao wa shughuli bila kujali shule basi tufanye hivyo kwa wote
 
Ndio maana........sitokulaumu tena,sio makosa yako.Kumbe Mh. umeishia darasa la.....na ukiongea pumba/mvuke maprofesa(wa magamba) wanakupigia makofi....MLETA MADA HEBU TULETEE NA CV ZA MAPROFESA WA MAGAMBA/DHAIFU
 
Ila amesoma primary kwa miaka mingi, toka 1980 mpaka 1987 ni miaka nane (8). Au inawezekana kuna mwaka alirudia ili kuongeza maarifa zaidi.

Zamani darasa la kwanza walikuwa wanaanza mwezi oktoba au november kwa ajili ya kuwahi shughuli za elimu ya kujitegemea kilimo mashuleni, usishanga hilo, siku hizi halipo.
 
Haki ya Mungu! Mimi sikuamini nilichokuwa nakiona kwenye hii thread kuwa ndio CV ya Lusinde mpaka nilipoenda kwenye Tivuti ya Bunge na kujionea mwenyewe! Nilichokikuta ni kitu halisi kilichotolewa hapa jamvini!

My take:
Pamoja na kuwa Wahe. Wabunge ni wawakilishi wa Wananchi na hivyo hatutakiwi kuingilia uhuru wao wa kuwachagua, bado nafikri ni vyema tukaweka criteria za mtu anayefaa kuwa Mbunge (mwakilishi wa watu) kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa na uhakika kuwa wananchi hao wana mtu mwenye uwezo wa kuwatetea/kuwawakilisha vizuri bungeni kwa maana ya ku-address matatizo yao! Tumeshuhudia hata madiwani wengi wakiwa kwenye vikao vya Halmashauri huku wazo kuu likiwa ni posho na sio wanaowawakilisha! We have to change now!
 
Kaaah...hii ndio tz bana, domo lako tu likifunguka vyema umewin haijalish unann kichwan.
af mbona katembea vyama vyote vilivyowah na vilivyo vikuu?
 
daa jamaa mkare xana la7 tu lakini anauwezo mkubwa wakutukana matusi, kunawatu kibao wamehitimu college hawajui kutukana bla shaka hata wapiga kura wake wanamsifu kwa hilo
 
Kwa elimu yake aliyosema kumbe saizi yake. Hana hatia kwa vile ubongo wake ni mtupu. Hivyo anaweza kutumiwa. Amezidiwa hata na mganga wa kienyeji maji marefu angalau ana fomu four! ******** kweli ni kihiyo kweli kweli.
 
Lusiiiiiiiiiiiiiiiiii! Chezea umande wewe!!!!!!!!! Kudadadeki! Wewe ndio chambio la ccm kudadadeeeki!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom