CV ya Dr Slaa From Certificate to PhD

CV ya Dr Slaa From Certificate to PhD

Status
Not open for further replies.
Duu umeuungaunga sana elimu yk Babu. Pole sana Kimberly una adv dipl

shida yako na ile skafu ya bendera uliyofunika hirizi ni kusahau kuwa kuna kibabu Sitta kinataka urais, sweating and dozing! Dr. Slaa is stable no matter what
 
Dr kumbe majungu hayajengi nchi? Bonge la comment lakini mbona wewe kila kukicha majungu kwa jk sasa ndio tutajenga nchi kweli hapo

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
msomi wa dini, sawa na wale masheikh waliosoma theology lakini wakadharauliwa humu kwa sababu wamesomea theology ya dini nyengine. Elimu ni elimu tu, hata wale masheh utakuta wana degree kutoka sudan, Egypt nk tatizo linakuja hivi usome theology law hata ya phd level halafu uwe expert wa economy au siasa ni kitandawili..

Mbona hao wasomi wanaoheshimika ndio hovyo kabisa???

Hivi Winston Churchill alisoma wapi?
 
well said dr your my president achana na empty minded hao wapige kelele.
 
Dr kumbe majungu hayajengi nchi? Bonge la comment lakini mbona wewe kila kukicha majungu kwa jk sasa ndio tutajenga nchi kweli hapo

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

majungu yapi? Kila kitu kina data wewe acha uliberali wako
 
Kama Membe naye ana PhD ya Kanisa basi naye namuweka kapu moja na Dr Slaa.

Duh mwanamfalme una kazi kweli.weWe si mwanasiasa ktk uongozi wa chama chenu cha majambazi kwanini unakatalia cv yako kuiweka bayana?MI NAKUSAIDIA KUIANZISHA.....

Mwaka 20... nilikamatwa na madawa ya kulevya China.Awards:Baba yangu kawapa kandarasi ya gesi Mtwara.

Sasa endelea mwenyewe.Ila ukiona bado chungu nitakuendelezea tena.
 
umenichekesha sana kwa kale kamsemo kako kwamba kuruka shule ni dalili za kuwa kipanga.
Nimekumbuka kale katoto kangu kalivyokuwa kiwembe. Kametoka la kwanza kakarukia la tatu. Kametoka la tano kakaingia form one na kakapata 10 bora kwenda vipaji maalum sekondari na form four kakapiga daraja la kwanza pointi 6. Sasa kako six mwakani. Chezea toto yangu weee!

duuuu mkuu kaa la moto ni elimu ya form four gani kuna pt sita??????au nkono umechongea kunkichwa?
 
L
mwigulu umesoma ila umeshindwa ku transform knowledge uliopta so kiuhalisia wewe bado ni mjinga na huwezi kukwepa
 
padiri babuuuuu mzee wa ving'astire povu linamtoka bado nenda kasome,huna elimu yoyote zaidi ya dini.
Huyu ndo alotuletea udini ktk siasa za tz
 
Mzee wa vidosho ameungaunga mpaka kajiita Dr sijui Pengo atajiita Prof
 
Huu ni muswiba mkubwa sana.

Kwa ilmu unayoipata ambayo baadae inabidi utumie nguvu nyingi sana kuwaeleza wale wasio wa imani yako ili wakuelewe umesoma kwa namna gani na ni mashaka makubwa sana kwa jamii unayotaka ikuelewe ambayo ndanimwe kuna zaidi ya nusu wasio iimani yako ambayo unataka ridhaa kuwaongoza.

Mii ningeshauri ungebaki huko huko kwani ndio yalipofngukia maisha yako na focus za maisha yako. Kubadili mtazamo na watu kukuelewa ni kazi kubwa sana kukuelewa hususan kwa jamii ya waTz ambayo kwa sasa ipo katika mtikisiko mkubwa wa kiimani.

Ok. Kila la kheir
 
padiri babuuuuu mzee wa ving'astire povu linamtoka bado nenda kasome,huna elimu yoyote zaidi ya dini.
Huyu ndo alotuletea udini ktk siasa za tz
Kumbe Dr. Slaa ni tishio kwa watu wa magamba (ccm). Angalia wanavyohangaika naye katika mtandao!! Eti kaanzisha siasa za udini. Umesahau pale yule Dr. feki, JK alipoona mambo yanamwendea kombo akaanza propaganda za udini ili apate ushindi. Sasa si unaoma udini aliouasisi unavyomtesa! Ebu shusheni CV ya JK muone uchakachuaji wa elimu ulipoanzia. Siku hizi kila mtu wa magamba hujipachika u-dokta bila kujua kuwa ni hadhi ya kisomi. Ooh..dr. nchimbi, dr. nagu, dr. mrema, dr. dr. dr. Hivi karibuni tutasikia Dr. Kinana, Dr. Nape, Dr. Makamba, ama kweli la kuvunda halisikii ubani.
 
padiri babuuuuu mzee wa ving'astire povu linamtoka bado nenda kasome,huna elimu yoyote zaidi ya dini.
Huyu ndo alotuletea udini ktk siasa za tz

ndiye aliyeleta kampeni za chagua muislam misikitini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom