IzeGREAT
Member
- Jan 15, 2009
- 61
- 21
...hivi kama ni kweli,inawezekana vipi kumaliza primary mwaka huohuo na kuanza secondary school!!!
-Kama wewe unayesema elimu yake imetulia bila matatizo,umesoma nchi gani secondary school,sabu Tz ninayoijua mie hakuna na nazani hakujawahi kuwepo kwa mtaala wa miaka miwili secondary school!!!
-Elimu yake imetulia,kama we ni msomi(sijajua wa kozi gani University),angalia MASTERS yake,from 1991-1997,ni kiaka SITA KWA INTERNAL MEDICINE,wale wa MD kama mie wanajua maximum kwa INTERNAL MEDICINE ni miaka MITATU TUU,labda kama aseme alichukua NEURO-SURGERY au laa alikuwa anafeli kila mwaka!!!
-Wakati wa huohuo anasoma MASTERS alikuwa pia anasoma PhD,labda PhD ya ONLINE,kama ipo kwa MD!!
-HEBU TUPATIE HIYO ILIYONYOOKA NA KUTULIA,SABU HII HATA MTOTO WA ANAYEJUA HESABU ZA KUTOA NA KUJUMLISHA ATASEMA MAJIBU YOTE NI CHANYA KAMA SI NEGATIVE!!!!...
-Kama wewe unayesema elimu yake imetulia bila matatizo,umesoma nchi gani secondary school,sabu Tz ninayoijua mie hakuna na nazani hakujawahi kuwepo kwa mtaala wa miaka miwili secondary school!!!
-Elimu yake imetulia,kama we ni msomi(sijajua wa kozi gani University),angalia MASTERS yake,from 1991-1997,ni kiaka SITA KWA INTERNAL MEDICINE,wale wa MD kama mie wanajua maximum kwa INTERNAL MEDICINE ni miaka MITATU TUU,labda kama aseme alichukua NEURO-SURGERY au laa alikuwa anafeli kila mwaka!!!
-Wakati wa huohuo anasoma MASTERS alikuwa pia anasoma PhD,labda PhD ya ONLINE,kama ipo kwa MD!!
-HEBU TUPATIE HIYO ILIYONYOOKA NA KUTULIA,SABU HII HATA MTOTO WA ANAYEJUA HESABU ZA KUTOA NA KUJUMLISHA ATASEMA MAJIBU YOTE NI CHANYA KAMA SI NEGATIVE!!!!...