MC katika kumpamba Bi harusi akasema , "sasa nawapa sifa kubwa ya bibi harusi. tangu mi namfaham huwa havai nguo za ndani." watu wakaduwaaaaaaaa...... Akasema "Narudia kwa mcisitizo na sijakosea. Bi harusi huyu havai kabisa nguo za ndani. Yeye ni za kutoka nje Italy,England na USA, hebu msangilieni....." kila mtu akarespond "KHAAAAA"