CV ya Asumpta Mshama

CV ya Asumpta Mshama

No, Big No.
Hawana uhusiano wowote na J-Sister family.

Huyo mama Ashunta Mshama niliwahi kumsikia bungeni akisema yeye ni Mchungaji wa kanisa fulani, ila kwa tabia zake sidhani kama kuna waamini wenye Imani ya kweli ambao wako tayari kuongozwa na mtu kama huyu.

kwani amefanyaje?
 
nadhani JK alimteua kwa sababu ni kada muaminifu aliyekiifia chama, hata ikibidi kutetea wezi kama alivyofanya kwenye escrow.

Kama mimi sijui h?ta kwa nn nimeingia huku halafu baada ya kukosa ubunge jk kampa u DC yule mkwere nikisema hamnazo sijui mtanielewa
 
Mkuu sababu gani za kiusalama?Si useme mume wake Mr.Mshama aliwahi kuwa dereva wa Nyerere na yeye kupitia mumewe alipata kazi ikulu kama muhudumu......au niendelee?

Si yaishe mkuuu
 
"....wakati baba yao nafikiri haishi naye kitambo"
hakuna ukweli hapo ni mke mwenye ndoa iliyohai kwa sababu za kiusalama hatuwezi kumtaja hapa.
unakumbuka SUGU alimlipua bungeni siku ile kuwa hawezi kueleza hadharani kwanini waliachana na mumewe?...wakati huo sugu alikuwa anajibu mapigo baada ya asumpta kumlipua sugu juu ya ugomvi wake na yule mchumba mvaa uchi....funguka basi ili kuondoa hiyo doubt kwasababu sugu alishamwaga ----- wengi tunaamini alichosema sugu.
 
Mkuu sababu gani za kiusalama?Si useme mume wake Mr.Mshama aliwahi kuwa dereva wa Nyerere na yeye kupitia mumewe alipata kazi ikulu kama muhudumu......au niendelee?

Endelea Mkuu, hayo ndio mambo tunayoyahitaji hebu tupia mawe hapa.
 
Wote naona mnahangaika tu. Mtu mwenyewe huyu hapa....
Kama huyu ndiye dereva wa Nyerere semeni................

Mr and Mrs Mshama.png
Mr. Mshama na Binti yake mmojawapo.png
Mabinti watatu wa Mr. Mshama.png

Mabinti watatu wa Mr. Mshama.png

Mr and Mrs Mshama.png
Mr. Mshama na Binti yake mmojawapo.png
Mabinti watatu wa Mr. Mshama.png
Mr and Mrs Mshama.png
Mr and Mrs Mshama.png
Mr. Mshama na Binti yake mmojawapo.png
Mabinti watatu wa Mr. Mshama.png
 
Mkuu sababu gani za kiusalama?Si useme mume wake Mr.Mshama aliwahi kuwa dereva wa Nyerere na yeye kupitia mumewe alipata kazi ikulu kama muhudumu......au niendelee?
Mr.Mshama hakuwa dereva wa Nyerere bali Bodyguard wake.....
 
unakumbuka SUGU alimlipua bungeni siku ile kuwa hawezi kueleza hadharani kwanini waliachana na mumewe?...wakati huo sugu alikuwa anajibu mapigo baada ya asumpta kumlipua sugu juu ya ugomvi wake na yule mchumba mvaa uchi....funguka basi ili kuondoa hiyo doubt kwasababu sugu alishamwaga ----- wengi tunaamini alichosema sugu.
Mmm ninavyokumbuka Sugu alimfungukia Martha Mlata na sio Asumpta Mshama
nadhani JK alimteua kwa sababu ni kada muaminifu aliyekiifia chama, hata ikibidi kutetea wezi kama alivyofanya kwenye escrow.
 
Wakuu habari

Nilikuwa naangalia YouTube nikamuona huyu mama wakati anatoa michango yake bungeni, na hasa kwenye suala la escrow, kwa hiyo kutokana na michango yake hiyo nikaona ni vizuri nione CV yake ndiyo niendelee kuangalia au niache.

Naomba mwenye CV ya huyu mama aiweke hapa.
Ana maji sana
 
No, Big No.
Hawana uhusiano wowote na J-Sister family.

Huyo mama Ashunta Mshama niliwahi kumsikia bungeni akisema yeye ni Mchungaji wa kanisa fulani, ila kwa tabia zake sidhani kama kuna waamini wenye Imani ya kweli ambao wako tayari kuongozwa na mtu kama huyu.
Mama wa J sisters anaitwa Assumpter Mshama. Wewe unaemuongelea ni nani na unasema No big no?
 
No, Big No.
Hawana uhusiano wowote na J-Sister family.

Huyo mama Ashunta Mshama niliwahi kumsikia bungeni akisema yeye ni Mchungaji wa kanisa fulani, ila kwa tabia zake sidhani kama kuna waamini wenye Imani ya kweli ambao wako tayari kuongozwa na mtu kama huyu.
Ulibisha ukiwa na uhakika ama hisia zilikutuma tu ubishe?
 
Back
Top Bottom