MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
- Thread starter
- #21
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! very very good ideas about her!
Haha haha haha mweeee
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! very very good ideas about her!
No, Big No.
Hawana uhusiano wowote na J-Sister family.
Huyo mama Ashunta Mshama niliwahi kumsikia bungeni akisema yeye ni Mchungaji wa kanisa fulani, ila kwa tabia zake sidhani kama kuna waamini wenye Imani ya kweli ambao wako tayari kuongozwa na mtu kama huyu.
wale watoto ni watoto wake aliowazaa. yaani ukiangalia watoto wake ni tofauti kabisa na mama yao. watoto wazuriii, wanaimba vizurii, lakini mama yao ana vituko na anakera hata kusikiliza. j sisters ni watoto wake kabisa. nilishamsikia akihojiwa kwenye tv akieleza hivyo, na anasema amehangaika nao sana wale watoto hadi kufikia pale walipofikia...wakati baba yao nafikiri haishi naye kitambo.
Mkuu msamehe bure
Mkuu sababu gani za kiusalama?Si useme mume wake Mr.Mshama aliwahi kuwa dereva wa Nyerere na yeye kupitia mumewe alipata kazi ikulu kama muhudumu......au niendelee?"....wakati baba yao nafikiri haishi naye kitambo"
hakuna ukweli hapo ni mke mwenye ndoa iliyohai kwa sababu za kiusalama hatuwezi kumtaja hapa.
hizi touch ni hatari uchelewi kutuma tusi kwa mama mkwe
Usikanushe kitu usichokifahamu vyema kwani kuwa mchungaji kunamzuia kuwa mzazi? Wale ni watoto wake wa kuzaa mwenyewe
Mkuu sababu gani za kiusalama?Si useme mume wake Mr.Mshama aliwahi kuwa dereva wa Nyerere na yeye kupitia mumewe alipata kazi ikulu kama muhudumu......au niendelee?
Mkuu sababu gani za kiusalama?Si useme mume wake Mr.Mshama aliwahi kuwa dereva wa Nyerere na yeye kupitia mumewe alipata kazi ikulu kama muhudumu......au niendelee?
Hata ukicomment tu mkuu utakuwa umenipa CV yake
Kuhudumia Ikulu si uhudumu?Ukweli nusu. Mshama hajawahi kuwa dereva wa Nyerere...ingawa ni kweli amewahi kuwa karibu na Nyerere. Mama Mshama hajawahi kuwa mhudumu...na hakupata kazi kwa sababu ya mumewe.
Wakuu habari
Nilikuwa naangalia YouTube nikamuona huyu mama wakati anatoa michango yake bungeni, na hasa kwenye suala la escrow, kwa hiyo kutokana na michango yake hiyo nikaona ni vizuri nione CV yake ndiyo niendelee kuangalia au niache.
Naomba mwenye CV ya huyu mama aiweke hapa.