CV ya Albert Msando

CV ya Albert Msando

kutokujua siasa kweli kazi ZZK kushinda sio kitu chaajabu ile wala sio kesi ndio maana Lissu akaipotezea haikua kesi ya kumuumiza Lissu kichwa, sanasana Albert yuko after money kashalamba zake dume kwa zzk huku kisogoni akimzomea, hakuna namna ya zzk kashakubali yeye ni mbunge wa mahakama nini tena cdm watake kwake?
 
Baada ya kesi iliyokuwa ikileta sekeseke jijini hapa na hata mikoani kati ya Mwanademokrasia wa kweli Zitto Zuberi Kabwe kwa upande mmoja, na viongozi wa CDM wahafidhina kwa upande mwingine, kutolewa maamuzi huku haki ikiendelea kutendeka na kutawala;

Tafadhari mwenye cv ya mwanasheria machachari mwenye upeo na weledi wa juu wa sheria Albert Msando naombeni aiweke hapa jamvini ili sisi wahanga wa kuonewa na kunyanyaswa na wahafidhina, mafisadi wanyanyasaji na waporaji wake za watu tuweze kujua Msando Gwiji jipya mjini hapa weledi wake kaupata vipi ili aendelee kusimamia kesi zetu.

NB: Kama wewe uko unatoka povu baada ya kunywa mbege na viroba huku ukishushia gongo, huu uzi haukuhusu!!!!!!

Unawahusu tu wale wenye kiu ya demokrasia ya kweli ndani na nje ya CDM.
HAKI ITAINUA TAIFA.
Mkuu pole sana kwa kuwa kipofu na kutofahamu si tatizo lako inategemea umesoma wapi maake shule za kata zinazalisha mambo sana siku hizi,hivi wewe na akili zako ile nayo ni kesi hadi uanze kushangilia sasa kesi ya msingi ikifika na Zitto kushindwa utamuweka wapi Msando hebu acha mambo ya kitoto fuatilia nani zaidi ya Lissu na Msando na historia zao then uje tena hapa jamvini.
 
Vp umeporwa mkee? kama umeporwa mke si uende mahakamani, nadhan tatizo lako ni elim duni uliyonayo ndo maana unapost vitu ambavyo hata mwanangu wa kidato cha 3 hawezi post.
 
Ukijua maana "temporary injunction" utaacha kuanzisha mada za kitoto! Tafuta mtu akusaidie kusoma Order XXXVII Rule 2
 
Back
Top Bottom