ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
aje na nyuzi za kutosha
sobhuza jiamini bwana, halafu YM ndio wa mwisho kwao! so no worries!
Ila yeye ndo amuulie mtoto Binti Mkhakhela, si ndio eh?
Unataka kufa?
Chonde chonde Mkwe usiniulie mwanangu, msamehe tafadhali
aje na nyuzi za kutosha
We ungeona alivyokuwa anasifia macho ya huyo jamaa yake, na kudai kama ana mdogo ampe, na tena akatishia kuniacha. Jamaa akajifanya hajaona comment yake (of koz anaogopa kichapo), lakini CG akamrudisha mu-topic. Kufika pale mie hamu ikaisha...
Hawezi kumuuwa!! Tushakuwa familia wote ni wanangu! Mkwe umeamka salama? Hasira zimeisha? Rudisha moyo Mkwe, mwenzio hajalala ni kulia tu tangu jana
mum au keshapata kabint anda eitini nini make haelewi la muadhin wala mnadi sala!
am i d only one who doesn،t knw WTF z going on hr
Bwahahahahahaha...
Ungependa kujua?
Saint Ivuga hujambo barafu wa moyo wangukwani kawafanya nini huyu binti?
nafasi gani hiyo mi nishapata huku na siiachii hata kidogokasema nani?
Kajaa tele, na glad enough ni kuwa naye anaitaka hii nafasi anayoichezea mwenzie.