Kwani anayedai kuwa koloni ni mtanganyika au mzanzibar? Tunasema hivi kama mnahisi mumeonewa sana na hakika mnahisia hizo, tamkeni mbele ya tume kuwa hamtaki muungano.
Mnaposema tuwe na mkataba kama wa Swiss(mwasheria wa unguja) kwi kwi! semeni mambo gani mnataka yawe ya mkataba?
Huyo aliyesema iwepo Tanganyika, nashangaa maana Tanganyika ikirudi hapo mtapoteza hata kidogo mlicho nacho.
Mkisema mkataba wa EU tunauliza wa mambo gani?
Sasa hivi Zbar ikijiunga na EAC kama nchi pekee itapoteza mambo mengi sana! hakuna nchi itakayokubali ubaguzi mnaowafanyia Watanganyika.
Tunachotaka kusema hapa ni kuwa tume hiyoo! sasa wekeni madumu ya mafuta na petroli pembeni Ongeeni hoja! ZNZ haitaki muungano, huku kumung'unya maneno ya mkataba wa Uswiss(mwanasheria wa BLW) ni upuuzi!
Tanganyika ikirudi kama alivyosema Mkandara muungano umekufa na ZNZ haitapata makataba wa Uswiss, Uchina, EU n.k
Lakini pia wanaotakiwa kudai Tanganyika wapo kimya! ninyi koloni mnawataka wadai wakati wao wana koloni!
Kelele zote sasa kimyaa! ukweli unadhihiri
LET ZNZ GO!
Hapo kwnye red ndio kwenye mtego wa Wazenji kwa Tanganyiaka ili wapate sababu ya kuuvunja muunagano kabisa.