Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 3,727
- 4,332
Ishieni zenu huko. Hutuwataki. Mmejaa chokochoko. Bora kuungana na malawi kuliko nyie.Kutokana na maoni ya wananchi wengi, inaonekana wazi kwamba wana wa nchi bado wanataka muungano lakini sio huu ambao haueleweki, na umekuwa kikwazo kwa kupanua wigo wa muungano. Tuanataka serikali tatu. Liwalo na liwe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/327398-serikali-tatu-au-moja-katika-muungano.html