PreGE2025 CUF yasisitiza kushiriki uchaguzi, yawaalika G-55 kuchukua fomu

PreGE2025 CUF yasisitiza kushiriki uchaguzi, yawaalika G-55 kuchukua fomu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
"Hivyo, msimamo wetu mpaka sasa ni wa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 na kulinda kura zetu kwa jasho na damu, ikilazimu.
Huu ni upumbavu mtupu, unalinda KURA zako wakati umesaini kuwa hata nakala ya matokeo hutapewa?! Wengine sijui makalio yenu mnayatumia kufanyia nini, anyway hatutashiriki uchaguzi
 
Back
Top Bottom