PreGE2025 CUF yasisitiza kushiriki uchaguzi, yawaalika G-55 kuchukua fomu

PreGE2025 CUF yasisitiza kushiriki uchaguzi, yawaalika G-55 kuchukua fomu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
Screenshot_20250421_162208_Google.jpg


Chama Cha Wananchi (CUF) kimesisitiza kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu, huku kikiwaalika makada wa Chadema waliounda kundi la G-55, kujiunga nao ili wagombee kupitia chama hicho.

G55 linahusisha makada wa Chadema waliotoa waraka wakiushauri uongozi wa Chadema kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo kwa kampeni ya kutaka mabadiliko kabla ya uchaguzi maarufu No Reforms No Election.
Soma kuhusu G-55
Kupitia kampeni hiyo, Chadema wamesema hawatasusa uchaguzi ila watazuia usifanyike, jambo linalopingwa na G-55.

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 21 na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Mohamed Ngulangwa imewaalika wananchi kujiunga na chama hicho ili kishiriki uchaguzi.

"Kwa uzito wa kipekee, tunatoa wito kwa wanachama wa Chadema hususan wale wa G-55 na wengine wanaoamini kwamba kushiriki Uchaguzi ni bora kuliko kususia, waje CUF- Chama Cha Wananchi ili tuendeleze mapambano," amesema Ngulangwa.

Ngulangwa amesema chama hicho kitashiriki uchaguzi huo licha ya kutambua upungufu wa kisheria na kikatiba katika Tume Huru ya Uchaguzi licha ya kufanyika mabadiliko madogo waliyosema yanayofanana na kuibadilishia chupa juisi iliyoharibika.

"Tumefanya tafakuri ya kina na kubaini kwamba yale mapambano ambayo vyama vya upinzani viliyafanya vikiwa ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano na Baraza la Wawakilishi yalikuwa na tija kubwa zaidi kwa taifa kuliko tulipobaki nje.

"Hivyo, msimamo wetu mpaka sasa ni wa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 na kulinda kura zetu kwa jasho na damu, ikilazimu.

"Tunaendelea kujiandaa kuukabili Uchaguzi kwa mazingira yaliyopo huku tukiendelea kutoa wito kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kukaa chini na vyama vya Siasa kuangalia namna ya kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unakuwa huru na wa haki, kama njia pekee ya uhakika ya kulinusuru Taifa kuingia kwenye machafuko likiwa mikononi mwake," amesema Ngulangwa.

Hata hivyo, amesema wanachama wao wenye nia ya kugombea urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, watalazimika kusubiri kalenda itakayotolewa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) litakaloketi hivi karibuni.

"CUF ni Taasisi inayoongozwa na Vyombo Mahususi vya Kikatiba. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) kwenye Kikao kijacho kinatarajiwa kuweka Kalenda na Utaratibu mzima wa kuwapata wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano; Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar; Ubunge; Uwakilishi na Udiwani," amesema.
 

Attachments

  • Screenshot_20250421_162208_Google.jpg
    Screenshot_20250421_162208_Google.jpg
    369.6 KB · Views: 15
View attachment 3311098Chama Cha Wananchi (CUF) kimesisitiza kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu, huku kikiwaalika makada wa Chadema waliounda kundi la G-55, kujiunga nao ili wagombee kupitia chama hicho.

G55 linahusisha makada wa Chadema waliotoa waraka wakiushauri uongozi wa Chadema kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo kwa kampeni ya kutaka mabadiliko kabla ya uchaguzi maarufu No Reforms No Election.
Soma kuhusu G-55
Kupitia kampeni hiyo, Chadema wamesema hawatasusa uchaguzi ila watazuia usifanyike, jambo linalopingwa na G-55.

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 21 na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Mohamed Ngulangwa imewaalika wananchi kujiunga na chama hicho ili kishiriki uchaguzi.
"Kwa uzito wa kipekee, tunatoa wito kwa wanachama wa Chadema hususan wale wa G-55 na wengine wanaoamini kwamba kushiriki Uchaguzi ni bora kuliko kususia, waje CUF- Chama Cha Wananchi ili tuendeleze mapambano," amesema Ngulangwa.

Ngulangwa amesema chama hicho kitashiriki uchaguzi huo licha ya kutambua upungufu wa kisheria na kikatiba katika Tume Huru ya Uchaguzi licha ya kufanyika mabadiliko madogo waliyosema yanayofanana na kuibadilishia chupa juisi iliyoharibika.

"Tumefanya tafakuri ya kina na kubaini kwamba yale mapambano ambayo vyama vya upinzani viliyafanya vikiwa ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano na Baraza la Wawakilishi yalikuwa na tija kubwa zaidi kwa taifa kuliko tulipobaki nje.

"Hivyo, msimamo wetu mpaka sasa ni wa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 na kulinda kura zetu kwa jasho na damu, ikilazimu.

"Tunaendelea kujiandaa kuukabili Uchaguzi kwa mazingira yaliyopo huku tukiendelea kutoa wito kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kukaa chini na vyama vya Siasa kuangalia namna ya kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unakuwa huru na wa haki, kama njia pekee ya uhakika ya kulinusuru Taifa kuingia kwenye machafuko likiwa mikononi mwake," amesema Ngulangwa.

Hata hivyo, amesema wanachama wao wenye nia ya kugombea urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, watalazimika kusubiri kalenda itakayotolewa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) litakaloketi hivi karibuni.

"CUF ni Taasisi inayoongozwa na Vyombo Mahususi vya Kikatiba. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) kwenye Kikao kijacho kinatarajiwa kuweka Kalenda na Utaratibu mzima wa kuwapata wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano; Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar; Ubunge; Uwakilishi na Udiwani," amesema.

..CUF wamepanga kufanya vurugu wakati wa uchaguzi.

..wamesema wanapanga kulinda kura kwa jasho na damu.

..Je, huo sio uhaini kwa tafsiri ya kisasa ya kosa hilo?
 
..CUF wamepanga kufanya vurugu wakati wa uchaguzi.

..wamesema wanapanga kulinda kura kwa jasho na damu.

..Je, huo sio uhaini kwa tafsiri ya kisasa ya kosa hilo?
Wana kura gani za kulinda? Hawa hakuna wa kuwasikiliza. Hata wakifanya mkutano hauwezi kuwa na wananchi mia moja. Wananikumbusha marehemu Membe alihutubia stuli na majani. Kuwa na chama ambacho kinaungwa mkono na wananchi hata milioni ni kazi kubwa.
 
View attachment 3311098

Chama Cha Wananchi (CUF) kimesisitiza kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu, huku kikiwaalika makada wa Chadema waliounda kundi la G-55, kujiunga nao ili wagombee kupitia chama hicho.

G55 linahusisha makada wa Chadema waliotoa waraka wakiushauri uongozi wa Chadema kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo kwa kampeni ya kutaka mabadiliko kabla ya uchaguzi maarufu No Reforms No Election.
Soma kuhusu G-55
Kupitia kampeni hiyo, Chadema wamesema hawatasusa uchaguzi ila watazuia usifanyike, jambo linalopingwa na G-55.

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 21 na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Mohamed Ngulangwa imewaalika wananchi kujiunga na chama hicho ili kishiriki uchaguzi.

"Kwa uzito wa kipekee, tunatoa wito kwa wanachama wa Chadema hususan wale wa G-55 na wengine wanaoamini kwamba kushiriki Uchaguzi ni bora kuliko kususia, waje CUF- Chama Cha Wananchi ili tuendeleze mapambano," amesema Ngulangwa.

Ngulangwa amesema chama hicho kitashiriki uchaguzi huo licha ya kutambua upungufu wa kisheria na kikatiba katika Tume Huru ya Uchaguzi licha ya kufanyika mabadiliko madogo waliyosema yanayofanana na kuibadilishia chupa juisi iliyoharibika.

"Tumefanya tafakuri ya kina na kubaini kwamba yale mapambano ambayo vyama vya upinzani viliyafanya vikiwa ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano na Baraza la Wawakilishi yalikuwa na tija kubwa zaidi kwa taifa kuliko tulipobaki nje.

"Hivyo, msimamo wetu mpaka sasa ni wa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 na kulinda kura zetu kwa jasho na damu, ikilazimu.

"Tunaendelea kujiandaa kuukabili Uchaguzi kwa mazingira yaliyopo huku tukiendelea kutoa wito kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kukaa chini na vyama vya Siasa kuangalia namna ya kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unakuwa huru na wa haki, kama njia pekee ya uhakika ya kulinusuru Taifa kuingia kwenye machafuko likiwa mikononi mwake," amesema Ngulangwa.

Hata hivyo, amesema wanachama wao wenye nia ya kugombea urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, watalazimika kusubiri kalenda itakayotolewa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) litakaloketi hivi karibuni.

"CUF ni Taasisi inayoongozwa na Vyombo Mahususi vya Kikatiba. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) kwenye Kikao kijacho kinatarajiwa kuweka Kalenda na Utaratibu mzima wa kuwapata wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano; Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar; Ubunge; Uwakilishi na Udiwani," amesema.
Kweli CUF imekufa hadi imekosa watu wa kugombea nafasi za ubunge na udiwani na kuamua kuomba Njaa 55 waje wawasaidie, Lipumba ni lipumbavu kweli kweli.
 
Kweli CUF imekufa hadi imekosa watu wa kugombea nafasi za ubunge na udiwani na kuamua kuomba Njaa 55 waje wawasaidie, Lipumba ni lipumbavu kweli kweli.

..mimi siwalaumu CUF kwa anguko lililowakuta.

..wengi mnaowalaumu mnasahau dhuluma na hujuma walizofanyiwa na vyombo vya dola kwa miaka mingi.

..tumekuwa wepesi kusahau CUF imeporwa ushindi mara ngapi ktk uchaguzi wa Zanzibar.

..tumekuwa wepesi kusahau kwamba CUF iliwahi kuwa chama kikuu cha upinzani hapa Tanzania.

..kufanya siasa za upinzani Tanzania kuna changamoto kubwa sana. Tusiwe wepesi kuvilaumu vyama vya upinzani, tuangalie mazingira na uhalisia wa siasa zetu.
 
View attachment 3311098

Chama Cha Wananchi (CUF) kimesisitiza kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu, huku kikiwaalika makada wa Chadema waliounda kundi la G-55, kujiunga nao ili wagombee kupitia chama hicho.

G55 linahusisha makada wa Chadema waliotoa waraka wakiushauri uongozi wa Chadema kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo kwa kampeni ya kutaka mabadiliko kabla ya uchaguzi maarufu No Reforms No Election.
Soma kuhusu G-55
Kupitia kampeni hiyo, Chadema wamesema hawatasusa uchaguzi ila watazuia usifanyike, jambo linalopingwa na G-55.

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 21 na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Mohamed Ngulangwa imewaalika wananchi kujiunga na chama hicho ili kishiriki uchaguzi.

"Kwa uzito wa kipekee, tunatoa wito kwa wanachama wa Chadema hususan wale wa G-55 na wengine wanaoamini kwamba kushiriki Uchaguzi ni bora kuliko kususia, waje CUF- Chama Cha Wananchi ili tuendeleze mapambano," amesema Ngulangwa.

Ngulangwa amesema chama hicho kitashiriki uchaguzi huo licha ya kutambua upungufu wa kisheria na kikatiba katika Tume Huru ya Uchaguzi licha ya kufanyika mabadiliko madogo waliyosema yanayofanana na kuibadilishia chupa juisi iliyoharibika.

"Tumefanya tafakuri ya kina na kubaini kwamba yale mapambano ambayo vyama vya upinzani viliyafanya vikiwa ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano na Baraza la Wawakilishi yalikuwa na tija kubwa zaidi kwa taifa kuliko tulipobaki nje.

"Hivyo, msimamo wetu mpaka sasa ni wa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 na kulinda kura zetu kwa jasho na damu, ikilazimu.

"Tunaendelea kujiandaa kuukabili Uchaguzi kwa mazingira yaliyopo huku tukiendelea kutoa wito kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kukaa chini na vyama vya Siasa kuangalia namna ya kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unakuwa huru na wa haki, kama njia pekee ya uhakika ya kulinusuru Taifa kuingia kwenye machafuko likiwa mikononi mwake," amesema Ngulangwa.

Hata hivyo, amesema wanachama wao wenye nia ya kugombea urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, watalazimika kusubiri kalenda itakayotolewa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) litakaloketi hivi karibuni.

"CUF ni Taasisi inayoongozwa na Vyombo Mahususi vya Kikatiba. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) kwenye Kikao kijacho kinatarajiwa kuweka Kalenda na Utaratibu mzima wa kuwapata wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano; Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar; Ubunge; Uwakilishi na Udiwani," amesema.
unashiriki uchafuzi Octoba, wakati wenzako wana matokeo April

#NoReformsNoElection
 
..mimi siwalaumu CUF kwa anguko lililowakuta.

..wengi mnaowalaumu mnasahau dhuluma na hujuma walizofanyiwa na vyombo vya dola kwa miaka mingi.

..tumekuwa wepesi kusahau CUF imeporwa ushindi mara ngapi ktk uchaguzi wa Zanzibar.

..tumekuwa wepesi kusahau kwamba CUF iliwahi kuwa chama kikuu cha upinzani hapa Tanzania.

..kufanya siasa za upinzani Tanzania kuna changamoto kubwa sana. Tusiwe wepesi kuvilaumu vyama vya upinzani, tuangalie mazingira na uhalisia wa siasa zetu.
Lakini kilichoiua CUF ni dola kulazimisha Lipumba kuwa mwenyekiti kwa hujuma, huku wakimfanyia uhuni Maalim Seif. Kabla ya Lipumba kurejea kuivuruga, CUF ilikuwa imara. Maalim Seif mwenye ushawishi alipoondoka na wafuasi wake ndio CUF ikadoda.
 
Hao G 55 waende tu
Hao G55 sio wajinga, na wanajua CUF haina mvuto, na wao hawana mvuto nje ya cdm hivyo hawawezi kwenda. Hao G55 wangalau wachache wanaweza kupewa vyeo vya mbeleko serekalini kama uDC nk. Hata ACT hawawezi kwenda maana wanajua nje ya cdm hawana mvuto, na uchaguzi sio wa haki hivyo kushinda ni nadra.
 
..mimi siwalaumu CUF kwa anguko lililowakuta.

..wengi mnaowalaumu mnasahau dhuluma na hujuma walizofanyiwa na vyombo vya dola kwa miaka mingi.

..tumekuwa wepesi kusahau CUF imeporwa ushindi mara ngapi ktk uchaguzi wa Zanzibar.

..tumekuwa wepesi kusahau kwamba CUF iliwahi kuwa chama kikuu cha upinzani hapa Tanzania.

..kufanya siasa za upinzani Tanzania kuna changamoto kubwa sana. Tusiwe wepesi kuvilaumu vyama vya upinzani, tuangalie mazingira na uhalisia wa siasa zetu.
Mimi namlaumu Lipumba kwa kukubali kutumiwa na CCM kuiua CUF aliyoshiriki kuijjenga hadi kundi kubwa likatimkia ACT Wazalendo, nina uhakika 100% bila Lipumba kufanya ujinga ule CUF ingekuwa kwenye SUK kule Zanzibar.
 
View attachment 3311098

Chama Cha Wananchi (CUF) kimesisitiza kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu, huku kikiwaalika makada wa Chadema waliounda kundi la G-55, kujiunga nao ili wagombee kupitia chama hicho.

G55 linahusisha makada wa Chadema waliotoa waraka wakiushauri uongozi wa Chadema kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo kwa kampeni ya kutaka mabadiliko kabla ya uchaguzi maarufu No Reforms No Election.
Soma kuhusu G-55
Kupitia kampeni hiyo, Chadema wamesema hawatasusa uchaguzi ila watazuia usifanyike, jambo linalopingwa na G-55.

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 21 na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Mohamed Ngulangwa imewaalika wananchi kujiunga na chama hicho ili kishiriki uchaguzi.

"Kwa uzito wa kipekee, tunatoa wito kwa wanachama wa Chadema hususan wale wa G-55 na wengine wanaoamini kwamba kushiriki Uchaguzi ni bora kuliko kususia, waje CUF- Chama Cha Wananchi ili tuendeleze mapambano," amesema Ngulangwa.

Ngulangwa amesema chama hicho kitashiriki uchaguzi huo licha ya kutambua upungufu wa kisheria na kikatiba katika Tume Huru ya Uchaguzi licha ya kufanyika mabadiliko madogo waliyosema yanayofanana na kuibadilishia chupa juisi iliyoharibika.

"Tumefanya tafakuri ya kina na kubaini kwamba yale mapambano ambayo vyama vya upinzani viliyafanya vikiwa ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano na Baraza la Wawakilishi yalikuwa na tija kubwa zaidi kwa taifa kuliko tulipobaki nje.

"Hivyo, msimamo wetu mpaka sasa ni wa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 na kulinda kura zetu kwa jasho na damu, ikilazimu.

"Tunaendelea kujiandaa kuukabili Uchaguzi kwa mazingira yaliyopo huku tukiendelea kutoa wito kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kukaa chini na vyama vya Siasa kuangalia namna ya kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unakuwa huru na wa haki, kama njia pekee ya uhakika ya kulinusuru Taifa kuingia kwenye machafuko likiwa mikononi mwake," amesema Ngulangwa.

Hata hivyo, amesema wanachama wao wenye nia ya kugombea urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, watalazimika kusubiri kalenda itakayotolewa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) litakaloketi hivi karibuni.

"CUF ni Taasisi inayoongozwa na Vyombo Mahususi vya Kikatiba. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) kwenye Kikao kijacho kinatarajiwa kuweka Kalenda na Utaratibu mzima wa kuwapata wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano; Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar; Ubunge; Uwakilishi na Udiwani," amesema.
Haahaa cuf ilishapoteza mwelekeo kitambo sana
 
View attachment 3311098

Chama Cha Wananchi (CUF) kimesisitiza kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu, huku kikiwaalika makada wa Chadema waliounda kundi la G-55, kujiunga nao ili wagombee kupitia chama hicho.

G55 linahusisha makada wa Chadema waliotoa waraka wakiushauri uongozi wa Chadema kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo kwa kampeni ya kutaka mabadiliko kabla ya uchaguzi maarufu No Reforms No Election.
Soma kuhusu G-55
Kupitia kampeni hiyo, Chadema wamesema hawatasusa uchaguzi ila watazuia usifanyike, jambo linalopingwa na G-55.

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 21 na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Mohamed Ngulangwa imewaalika wananchi kujiunga na chama hicho ili kishiriki uchaguzi.

"Kwa uzito wa kipekee, tunatoa wito kwa wanachama wa Chadema hususan wale wa G-55 na wengine wanaoamini kwamba kushiriki Uchaguzi ni bora kuliko kususia, waje CUF- Chama Cha Wananchi ili tuendeleze mapambano," amesema Ngulangwa.

Ngulangwa amesema chama hicho kitashiriki uchaguzi huo licha ya kutambua upungufu wa kisheria na kikatiba katika Tume Huru ya Uchaguzi licha ya kufanyika mabadiliko madogo waliyosema yanayofanana na kuibadilishia chupa juisi iliyoharibika.

"Tumefanya tafakuri ya kina na kubaini kwamba yale mapambano ambayo vyama vya upinzani viliyafanya vikiwa ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano na Baraza la Wawakilishi yalikuwa na tija kubwa zaidi kwa taifa kuliko tulipobaki nje.

"Hivyo, msimamo wetu mpaka sasa ni wa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 na kulinda kura zetu kwa jasho na damu, ikilazimu.

"Tunaendelea kujiandaa kuukabili Uchaguzi kwa mazingira yaliyopo huku tukiendelea kutoa wito kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kukaa chini na vyama vya Siasa kuangalia namna ya kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unakuwa huru na wa haki, kama njia pekee ya uhakika ya kulinusuru Taifa kuingia kwenye machafuko likiwa mikononi mwake," amesema Ngulangwa.

Hata hivyo, amesema wanachama wao wenye nia ya kugombea urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, watalazimika kusubiri kalenda itakayotolewa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) litakaloketi hivi karibuni.

"CUF ni Taasisi inayoongozwa na Vyombo Mahususi vya Kikatiba. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) kwenye Kikao kijacho kinatarajiwa kuweka Kalenda na Utaratibu mzima wa kuwapata wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano; Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar; Ubunge; Uwakilishi na Udiwani," amesema.
Siasa mchezo mchafu ukikubali kununuliwa unakuwa kama Shoga la kiume,yaani yule profesa Lipumba wa Maalim seif kawa,leo kawa hana thamani tena mbele ya macho ya watu
 
Ni sahihi kwani hawana wagombea

Act-wazalendo nao mgombea mwenye uwezo wakusimama na kushinda ni zito kabwe pekee nchi zima kwa kupewa (bargaining)
 
View attachment 3311098

Chama Cha Wananchi (CUF) kimesisitiza kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu, huku kikiwaalika makada wa Chadema waliounda kundi la G-55, kujiunga nao ili wagombee kupitia chama hicho.

G55 linahusisha makada wa Chadema waliotoa waraka wakiushauri uongozi wa Chadema kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo kwa kampeni ya kutaka mabadiliko kabla ya uchaguzi maarufu No Reforms No Election.
Soma kuhusu G-55
Kupitia kampeni hiyo, Chadema wamesema hawatasusa uchaguzi ila watazuia usifanyike, jambo linalopingwa na G-55.

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 21 na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Mohamed Ngulangwa imewaalika wananchi kujiunga na chama hicho ili kishiriki uchaguzi.

"Kwa uzito wa kipekee, tunatoa wito kwa wanachama wa Chadema hususan wale wa G-55 na wengine wanaoamini kwamba kushiriki Uchaguzi ni bora kuliko kususia, waje CUF- Chama Cha Wananchi ili tuendeleze mapambano," amesema Ngulangwa.

Ngulangwa amesema chama hicho kitashiriki uchaguzi huo licha ya kutambua upungufu wa kisheria na kikatiba katika Tume Huru ya Uchaguzi licha ya kufanyika mabadiliko madogo waliyosema yanayofanana na kuibadilishia chupa juisi iliyoharibika.

"Tumefanya tafakuri ya kina na kubaini kwamba yale mapambano ambayo vyama vya upinzani viliyafanya vikiwa ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano na Baraza la Wawakilishi yalikuwa na tija kubwa zaidi kwa taifa kuliko tulipobaki nje.

"Hivyo, msimamo wetu mpaka sasa ni wa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 na kulinda kura zetu kwa jasho na damu, ikilazimu.

"Tunaendelea kujiandaa kuukabili Uchaguzi kwa mazingira yaliyopo huku tukiendelea kutoa wito kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kukaa chini na vyama vya Siasa kuangalia namna ya kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unakuwa huru na wa haki, kama njia pekee ya uhakika ya kulinusuru Taifa kuingia kwenye machafuko likiwa mikononi mwake," amesema Ngulangwa.

Hata hivyo, amesema wanachama wao wenye nia ya kugombea urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, watalazimika kusubiri kalenda itakayotolewa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) litakaloketi hivi karibuni.

"CUF ni Taasisi inayoongozwa na Vyombo Mahususi vya Kikatiba. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa (BKUT) kwenye Kikao kijacho kinatarajiwa kuweka Kalenda na Utaratibu mzima wa kuwapata wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano; Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar; Ubunge; Uwakilishi na Udiwani," amesema.

CUF wajilie tu hiyo pesa ya Maza. Ndiyo muda wenyewe huu. Baada ya October itabaki kwenye familia tu.
 
Ivi mule kwa wale G 55, ni nani mwenye ushawishi kwamba akihama chama kuna watu watamfuata🤣🤣🤣🤣
Hawa G55 ni watu wanaotetea matumbo Yao hawana lolote. Lengo lao waingie bungeni kujipatia posho Kwa faida ya matumbo Yao yenye njaa TU ya madaraka. Pia lengo lao nyingine ni kuleta utengano baina ya wanachama.
 
Back
Top Bottom