Huo ndio ujumbe wa leo. Kwanza kutokana na hukumu ya jana tarehe 18 Februari, 2019 kuhusu UHALALI WA BODI YA LIPUMBA na namna maamuzi yalivyofanywa bado inaonesha kuna kiwingu ama mitego mingi ambayo imewekwa na pengine inaweza kutumiwa kama fursa ya kukwamisha baadhi ya mambo mengine ikiwemo kesi ya Uhalali wa mwenyekiti Lipumba.
Jee ni kweli bila shaka yoyote kuwa bodi ya zamani ndio inayotambulika kisheria ?
Viongozi hawapaswi kubweteka kwa maamuzi ya jana ambayo akina sisi tusiokuwa wanasheria bado hatujapata grounds za maamuzi zaidi ya kuona kuwa labda kuna mitego tu hasa kwa kuzingatia TAARIFA ZA SIRI ZILIZOVUJA KUHUSU NJAMA ZA JAJI MUTUNGI , VIONGOZI WA SERIKALI NA HAKIMU kuhusishwa na rushwa ili kesi iamuliwe visivyo. Jee bado kuko salama ?
Kunahitajika umakini kuhusu kutumiwa mwanya wa hujuma ili kesi iliyopo isisomwe ama kusogezwa mbele na mambo mengine kama hayo. Kwa mfano jee upande ulioshindwa kesi ya USAJILI WA RITA hawawezi kukata rufaa na kuchelewesha maamuzi ya kesi ya tarehe 22 Februari, 2019 ? Nini mnapaswa kufanya kisheria kabla ya hujuma kuanza ? yote hayo yazingatiwe.
Jee kwa maamuzi ya jana hayatoi nafasi za kiufundi kwa kesi ya tarehe 22, kukosa mashiko ya maamuzi na kisheria na hivyo LIpumba kupata fursa ya kufanya hujuma zaidi kwa kushirikiana na wadhamini wao ? Na jee huo sio mpango wa kuhujumu kesi ya Msingi ya UENYEKITI WA LIPUMBA AMBAO KAMA IKITOKEA ITAKUWA UMEPANGWA NA JAJI ?
Vyovyote iwavyo, Bado kunahitajika umakini zaidi maana ni wazi waliomtuma Lipumba walikusudia lao kwenye hili sakata la Mgogoro wa kupandikizwa.
Kishada
Jee ni kweli bila shaka yoyote kuwa bodi ya zamani ndio inayotambulika kisheria ?
Viongozi hawapaswi kubweteka kwa maamuzi ya jana ambayo akina sisi tusiokuwa wanasheria bado hatujapata grounds za maamuzi zaidi ya kuona kuwa labda kuna mitego tu hasa kwa kuzingatia TAARIFA ZA SIRI ZILIZOVUJA KUHUSU NJAMA ZA JAJI MUTUNGI , VIONGOZI WA SERIKALI NA HAKIMU kuhusishwa na rushwa ili kesi iamuliwe visivyo. Jee bado kuko salama ?
Kunahitajika umakini kuhusu kutumiwa mwanya wa hujuma ili kesi iliyopo isisomwe ama kusogezwa mbele na mambo mengine kama hayo. Kwa mfano jee upande ulioshindwa kesi ya USAJILI WA RITA hawawezi kukata rufaa na kuchelewesha maamuzi ya kesi ya tarehe 22 Februari, 2019 ? Nini mnapaswa kufanya kisheria kabla ya hujuma kuanza ? yote hayo yazingatiwe.
Jee kwa maamuzi ya jana hayatoi nafasi za kiufundi kwa kesi ya tarehe 22, kukosa mashiko ya maamuzi na kisheria na hivyo LIpumba kupata fursa ya kufanya hujuma zaidi kwa kushirikiana na wadhamini wao ? Na jee huo sio mpango wa kuhujumu kesi ya Msingi ya UENYEKITI WA LIPUMBA AMBAO KAMA IKITOKEA ITAKUWA UMEPANGWA NA JAJI ?
Vyovyote iwavyo, Bado kunahitajika umakini zaidi maana ni wazi waliomtuma Lipumba walikusudia lao kwenye hili sakata la Mgogoro wa kupandikizwa.
Kishada