Elections 2015 CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake

Yes turudi kwenye chama kimoja kwenya urais tuu, ila kwenye ubunge tuendelee kuwa na vyama vingi. Hili la urais tuliweke kabisa kwenye katiba kuwa chama chenye hati miliki ya urais wa JMT na Zanzibar ni CCM!. Hii ni kutokana na long eksipirience ya uzoefu wa muda mrefu!.

Pascal
 
Hii kauli alianza nayo Ali Karume
Pasco umeunga mkono hoja.
Ushauri: Anzisha petition, anzisha kukusanya sahihi za wadau wanaounga mkono hoja hii ili hoja hii akabidhiwe Zitto , Chenge au Mwakyembe aipeleke kama hoja ya dharura bungeni wiki hii ili ijadiliwe na usumbufu wa DOMOkrasi uishe.

Pasco , umenikumbusha "the devil's soldiers"
 
na kama hapa ni kazi tu itakuwa kazi tu pindipo jeshi la Tanganyika likaja kuuwa wazanzibari basi safari hii itakuwa ni TOTAL WARS vita vitahamishiwa tanganyika miundo mbinu yoyote ya tanganyika hiyo itachukuliwa kama ni silaha za kivita TIper pipe gas, airport, majumba ya serikali, badari, petrol station vyote hivyo vitachukuliwa kama ni silaha zakivita kwahivyo mukija kutuuwa safari hii ni kuuwana tu tanganyika haita baki salama ni TOTAL wars
 

Pasco hope this time tumejua ukweli,na ukweli siku zote unakuweka huru.

UKWELI wa CUF kutokutangazwa sababu kuu ni UCHOTARA wa MAALIM SEIF,tumeona kwenye mabango ya CCM siku ya kusheherekea MAPINDUZI,tumeona mabango kwenye vijiwe vya CCM Zanzibar,tumeona kwenye mitandao wanaCCM wakiendeleza ubaguzi huu wa RANGI na hakuna TCRA inayokemea wala kufanya kazi yake hapo.

Na sababu ya pili kubwa ni kwamba CCM imesema haitatoa Zanzibar kwa VIKARATASI sasa unauhakika gani CUF wakishinda tena watapewa?Uhakika ni huu hata wakishinda hawatapewa tutarudia tena UCHAGUZI maana UCHAGUZI ni HURU NA HAKI pale CCM tu ikishinda.
 
Mkuu Kifoi, nimekuripoti kwa mode, ili awape kabisa jina lako 'wale jamaa' zetu ili kutumia kinga kuliko kuja kutibu!. Nakuomba waage kabisa ndugu zako kwa kuwaambia ulisema nini humu jf!. Uhuru wa jf kutumia majina sio kinga ya ugaidi kwa kisingizio cha sababu yoyote ile!, na mode kama Mtanzania, anawajibika kuwa disclose magaidi wote tulionao humu jf, au hata wale wenye elements za ugaidi!.

Pasco
 
Nimeikuta hii mahali,

Pasco
 
Pia nimeikuta hii mahali
Baeleze baelewe!.

Cuf wanataka kujifurahisha tuu, hakuna cha kujitoa, na kushiriki uchaguzi huu wa marudia sio hiyari bali ni lazima!.
Nisome hapa nilisema nini
CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima

Pasco
 
Mkuu Pasco hapo umenena,
Pamoja na ukweli kuwa kuna uwezekano mkubwa kuwa katika Baraza la Wawakilishi CUF haitakuwemo, na vile vile Maalim Seif Hamad ndo atatoweka kwenye misafara ya urais.
 
Baada ya Jecha kutangaza tarehe ya maigizo ya uchaguzi wa marudio na kuifurahisha CCM. Mkwamo unataka kuchukua hatua mpya. Sinema ya Jecha na CCM inahamia Mahakamani.


Nineikuta sehemu:
Katika hatua nyingine mawakilishi na madiwani wateule wa CUF kupanga kwenda mahakamani kutetea nafasi zao.

Wameeleza kwamba, kwa kuwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewapa hati za ushindi baada ya kufanya uchaguzi mkuu tarehe 25 Oktoba 2015, mpaka sasa hakuna aliyejitokeza kupinga ushindi wao.

Hata hivyo, Maalim Seif amesema, viongozi hao waliochaguliwa na wananchi katika uchaguzi huo na kisha kupewa shahada zao, watakwenda mahakamani kutetea nafasi zao na kutoruhusu viongozi wengine wa ngazi hizo kuchaguliwa tena kwa vile wao wanavyo vielelezo vyote vya kuchaguliwa kwao.

Kwa mujibu wa matokeo ya uchaguzi yaliyobandikwa katika vituo vya kupigia kura na kuthibitishwa na wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo, majimbo yote 18 ya uchaguzi Kisiwani Pemba yalichukuliwa na CUF, sambamba na wadi zote 32 za uchaguzi.

Chanzo : Maalim Seif: Ondoeni shaka, nitatangazwa

Je mahakama itafanya kazi yake kwa uhuru? Au mahakama itageuka Jecha namba 2?

Angalizo: Kisheria ,Tume ikishatangaza matokeo haiwezi kuyafuta. Kinaachoweza kufanywa na mlalamikiaji wa matokeo ni kwenda Mahakamani. Mahakama ikiridhika na ushahidi wa kupinga matokeo. mahakama inatengua matokeo hayo(inafuta matokeo) na kuamuru uchaguzi wa marudio.
Jecha aliingilia kazi ya Mahakama.
 

Mkuu safi sana kwa ufafanuzi. Ila nauliza ivi tunafuata upole wa mtu au umakini wa mtu au tunafuata democracy? maana unasema ooh mara Magu achezewi kama kktwe. kwa iyo ni ruksa serikali kuwa juu ya sheria?
 
Hii hoja yangu kuwa CUF ni lazima washiriki uchaguzi wa marudio bado iko valid, CUF wapende wasipende, ni lazima washiriki na hakuna cha kujitoa!.

Mapinduzi Daima

Pasco
 
Mawakala wa cuf kutokuwepo siku ya kupiga kura 20 march inatosha kuitangazia dunia kuwa Cuf haijashiriki uchaguzi.
 
Hakuna member mwenye hadhi kubwa kuliko mwenzake hapa jukwaani msijitukuze kabla ya kutukuzwa
 
Nakumbushia tuu kuna neno nilisema humu kuhusu CUF kushiiki kwa lazima itake isitake, nilipuuzwa, lakini jana Jecha kayasema haya haya, sijui na yeye atapuuzwa?!. Najua CUF kama kawaida yao, watakuja na matamko. Matamko hayasaidii kitu, ama wachukue hatua au wakae kimya na kushiiki uchaguzi huu!.

Pasco
 
Bila wasiwasi naamini wanachama wa vyama vyote vya siasa Zanzibar watashiriki uchaguzi wa marudio pamoja na shinikizo la viongozi wao waliotaka ushindi wa mezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…