BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Na kwa kufanya hivyo kwa maoni yangu atafanikiwa kutimiza lengo la kuidhoofisha CUF na pia UKAWA. CHADEMA na CUF wasiotumika na maccm au ambao si mamluki watafanya jambo la maana sana kuamua kuungana na vyama vyote ndani ya UKAWA na hivyo kuunda chama kimoja chenye nguvu bila kuchelewa. Wakiweza kufanya hivyo lengo la Lipumba na waliomtumia ndani ya CCM litakuwa limeshindwa vibaya sana.
Kaamua kumtumikia shetani
. Tatizo huwa chama tawala kuweka mapandikizi.Viva Seif, viva UKAWA.