Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki


Mkuu lifecoded naomba unitoe tongotomgo kwa huyu wako jacko kwani hakuwa mtu halisi??
 
Hiki ulichoeleza ni kama kwenye Movie ya REPLICAS, ambayo ni Sci-fi Movie amecheza Keanu Reeves.

Science can do it all, this i can say.
 
Licha ya maelezo mazuri na marefu yenye kuelimisha, lakini kuna mkangayiko kwa mujib wa ulichokiandika.

Unasema "...mind ndo uhai wa kiumbe yoyote...hivyo ukiweza kuhamisha mind tayari umehamisha ufahamu ( consciousness ) yake...na ufahamu ndo maisha halisi ya mtu husika..."

Uhai unabaki kuwa uhai, hakuna mbadala wake. Vinginevyo mtu aliyepandikizwa hiyo chip asingekufa kwa sababu hiyo chip haifi.
 

Mkuu haujajibu ipasavyo swali la huyo jamaa. Kwamba huyo cloned anakufa au hafi?

Rejea pia post yangu no. 37.
 
Hauwezi ukawa wewe exactly! Kwa sababu kwanza chip kama chip ina limmitations nyingi mno ikiwemo ya limmited storage hii itapelekea uwezekano wa wewe uliyetenge ezwa kushindwa kuingiza vitu vipya ama kuwa na vile ambavyo uliwwahi kujifunza pekee. na kingine genes zako zikishakuwa edited unapoteza ubora wa kuwa wewe.
All in all utabaki kuwa ANDROID tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…