Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,625
Msikilize hapa akielezea kuhusu hilo akisema ni katika mambo ambayo hatokuja kusahau katika maisha yake yote.
Akiulizwa ni tukio gani hatalisahau kamwe kwenye maisha yake Joseph Benard AKA Pongo Mnyama - Beach boy amesema;
Kuna kipindi walikuwa wanaopoa maiti za watu kwenye viroba zilizokuwa zinaoshwa na maji, akisema walipata mili kama 20+ ya maiti ikiwa imefungwa mikono na kiroba kufungwa na jiwe.
Akizidi kueleza kuwa mpaka miili hiyo mpaka kuja kuonekana inakuwa imeharibika kiasi cha kutoweza kumtambua mtu sababu ngozi zilikua zinaganda kwenye viroba kutokana na joto ndani ya viroba hivyo.
Akaendelea kuwa, waliopoa mili ya watu mfululizo kwa kama siku nne, akitaja tukio huli kutokea kipindi cha miaka mitatu minyuma kutoka 2023. Anasema waliopoa mili mingi kiasi kwamba wakiona tu kiroba wanasema 'mgeni yule', na kwenda kuopoa mwili!
Akiulizwa ni tukio gani hatalisahau kamwe kwenye maisha yake Joseph Benard AKA Pongo Mnyama - Beach boy amesema;
Kuna kipindi walikuwa wanaopoa maiti za watu kwenye viroba zilizokuwa zinaoshwa na maji, akisema walipata mili kama 20+ ya maiti ikiwa imefungwa mikono na kiroba kufungwa na jiwe.
Akizidi kueleza kuwa mpaka miili hiyo mpaka kuja kuonekana inakuwa imeharibika kiasi cha kutoweza kumtambua mtu sababu ngozi zilikua zinaganda kwenye viroba kutokana na joto ndani ya viroba hivyo.
Akaendelea kuwa, waliopoa mili ya watu mfululizo kwa kama siku nne, akitaja tukio huli kutokea kipindi cha miaka mitatu minyuma kutoka 2023. Anasema waliopoa mili mingi kiasi kwamba wakiona tu kiroba wanasema 'mgeni yule', na kwenda kuopoa mwili!