Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Licha ya maelezo mazuri na marefu yenye kuelimisha, lakini kuna mkangayiko kwavmujib wa ulichokiandika.

Unasema "...mind ndo uhai wa kiumbe yoyote...hivyo ukiweza kuhamisha mind tayari umehamisha ufahamu ( consciousness ) yake...na ufahamu ndo maisha halisi ya mtu husika..."

Uhai unabaki kuwa uhai, hakuna mbadala wake. Vinginevyo mtu aliyepandikizwa hiyo chip asingekufa kwa sababu hiyo chip haifi.
mkuu,consciousness inakuwa processed na nini kama sio mind......?? unaelewa lakini...mind inaweza kuwa conscious au subconscious au semi-conscious depending na mazjngira mwili ulipo......


huwezi ukawa hai if at all consciousnes haipo katika mind....ukifanya total mind apload tayari unakuwa umehamisha ufahamu( consciousness)...that's why unapoinduce microchip kwa ajili ya kuwa inahack awareness unaweza ukaisoma na kuihamisha kwa system.

Watu wameshafika mbali mkuu,sema mambo mengi yapo closed
 
Mkuu haujajibu ipasavyo swali la huyo jamaa. Kwamba huyo cloned anakufa au hafi?

Rejea pia post yangu no. 37.
anything can perish away if killed..kwani hao wanyama na kuku wa kizungu unaokula ukiwachinja hawafi..?? au logic ya swali ni ipi.??
 
So alifanyiwa hizo process zote?? Na kurudishiwa kumbukumbu zake za tangu mwanzo???clone akifa anaweza Ku dublicate tena??
mkuu,kumbuka clone anapatikana kwa donor ( original cell from the subject),kwa hiyo access ya cell ipo na tunaweza ipata hata kwakuchukua cell moja tu..mtu ukifa haimanishi umeondoka na ufahamu wote..sisi wote tulio hai tuna ufahamu wa pamoja unaoitwa collective consciousness ampapo kiumbe yoyote ukimtrain hata mbuzi anaelewa ndani ya dk mbili dunia inavyokwenda....kwa hiyo wanachokifanya kwa hawa clone ni kuinduce hiyo collective consciousness kwao na huyo clone atakuwa anajua dunia ilipo hence atarun mambo yote as if alikuwepo tangu mwanzo.....neural scientists wamesha hack eneo maalumu kwenge ubongo ambalo linahusika na collective consciousness( current ongoing processees around the world) then anaendelea na dunia inavyokwenda....

Hatapitwa na chochote kwa sababu anakuwa ashapewa Universal Aura Frequency inayorun universal consciousness....hebu ukipata muda pitia kidogo kuhusu universal consciousness then uje uulize chochote.
 
Hauwezi ukawa wewe exactly! Kwa sababu kwanza chip kama chip ina limmitations nyingi mno ikiwemo ya limmited storage hii itapelekea uwezekano wa wewe uliyetenge ezwa kushindwa kuingiza vitu vipya ama kuwa na vile ambavyo uliwwahi kujifunza pekee. na kingine genes zako zikishakuwa edited unapoteza ubora wa kuwa wewe.
All in all utabaki kuwa ANDROID tu.
wewe jamaa acha basi matango bana..chip zinatofautiana ujazo kulingana na matumizi...ni kama memory card...unajua space ya neural chip wewe au umekalili tu...kama cell dyako amayo haionekani kwa macho imebeba matirioni ya informations zako sembuse implantable chips...


Sikia mkuu....soma vizuri kuhusu nanotechnology inavyokuja kutengeneza hizo chip ndogo zaidi huku zikiwa na unlimited storage space...
 
Nimefutilia kitambo sana na najua kuhusiana na hizii chip vizuri tu kikubwa ni kuwa usifananishe DNA na vitu vya kijinga afu ubongo huwa unauwezo wa kuhifadhi matukio muhimu tu na hufuta yale yasiyo na umuhimu hii inaufanya uwe more efficient. Tukirudi kwenye hizo SILICON chips kwa nini nasema hazitakuwa efficient? Kwa sababu hakuna kitu man made chenye 100% efficient bro!
wewe jamaa acha basi matango bana..chip zinatofautiana ujazo kulingana na matumizi...ni kama memory card...unajua space ya neural chip wewe au umekalili tu...kama cell dyako amayo haionekani kwa macho imebeba matirioni ya informations zako sembuse implantable chips...


Sikia mkuu....soma vizuri kuhusu nanotechnology inavyokuja kutengeneza hizo chip ndogo zaidi huku zikiwa na unlimited storage space...
 
Nimefutilia kitambo sana na najua kuhusiana na hizii chip vizuri tu kikubwa ni kuwa usifananishe DNA na vitu vya kijinga afu ubongo huwa unauwezo wa kuhifadhi matukio muhimu tu na hufuta yale yasiyo na umuhimu hii inaufanya uwe more efficient. Tukirudi kwenye hizo SILICON chips kwa nini nasema hazitakuwa efficient? Kwa sababu hakuna kitu man made chenye 100% efficient bro!
Broo acha kutumia uelewa wa darasa la pili kuwa ili ubongo uuelewe ni lazima upoteze taarifa zingine kukaribisha uelewa mpya point za kitoto sana hizo mkuu....watakucheka sana watu ...

Labda nikueleze tu ukweli ni kwamba ubongo wako huhifadhi kila kitu kuanzia unapozaliwa mpaka unakufa....ukitaka kufahamu hilo tembelea kitengo cha crime intelligence uone jinsi wanavyopakua informations kutoka kwa watu wanao wakamata pindi waambiwapo watoe siri flani na ukikataaa kuna dawa unamezeshwa kisha memory yako inarudi fasta kwenye cerebral cortex kisha memory centre kutema kila kitu huku ukiwa conscous....sema hujui chochote kuhusu jinsi ubongo unavyohifadhi taarifa....hapa nikikuuliza unipe uhusiano jinsi informations zinavyoprocesiwa kwenye braini kisha kuwekwa kwenye long term na short term memory utaanza kumbwele...


Inshort ubongo wako unahifadhi kila ufahamu wako unapotambua kitu....sema rate ya kutemesha back informations toka kwenye memory centre kuja kwenye conscious area unatofautiana kati yamtu na mtu kulingana na neural circuit ya mhusika....ila hiyo point yako ya kudanganywa kuwa ili ubongo uhifadhi kitu ni lazima upoteze informations ni uongo mkubwa ...
 
mkuu,kumbuka clone anapatikana kwa donor ( original cell from the subject),kwa hiyo access ya cell ipo na tunaweza ipata hata kwakuchukua cell moja tu..mtu ukifa haimanishi umeondoka na ufahamu wote..sisi wote tulio hai tuna ufahamu wa pamoja unaoitwa collective consciousness ampapo kiumbe yoyote ukimtrain hata mbuzi anaelewa ndani ya dk mbili dunia inavyokwenda....kwa hiyo wanachokifanya kwa hawa clone ni kuinduce hiyo collective consciousness kwao na huyo clone atakuwa anajua dunia ilipo hence atarun mambo yote as if alikuwepo tangu mwanzo.....neural scientists wamesha hack eneo maalumu kwenge ubongo ambalo linahusika na collective consciousness( current ongoing processees around the world) then anaendelea na dunia inavyokwenda....

Hatapitwa na chochote kwa sababu anakuwa ashapewa Universal Aura Frequency inayorun universal consciousness....hebu ukipata muda pitia kidogo kuhusu universal consciousness then uje uulize chochote.

Mkuu umepotea mno ila hongera kwa kutukumbuka

Ngoja niulize kabla hujayeya tena _Ni hivi mkuu;

'Ikiwa huyo subject 1(original donor) kaweza kutengenezewa clone wake subject 2 na kupandikizwa hiyo chip nakuwa kama subject 1

je inawezekana kupata subject 3 kutoka kwa cell za clone (subject 2)..?

Na ikiwezekana je watatumia chip ile ile kurejesha kumbukumbu Ili awe kama original subject'..?
 
Broo acha kutumia uelewa wa darasa la pili kuwa ili ubongo uuelewe ni lazima upoteze taarifa zingine kukaribisha uelewa mpya point za kitoto sana hizo mkuu....watakucheka sana watu ...

Labda nikueleze tu ukweli ni kwamba ubongo wako huhifadhi kila kitu kuanzia unapozaliwa mpaka unakufa....ukitaka kufahamu hilo tembelea kitengo cha crime intelligence uone jinsi wanavyopakua informations kutoka kwa watu wanao wakamata pindi waambiwapo watoe siri flani na ukikataaa kuna dawa unamezeshwa kisha memory yako inarudi fasta kwenye cerebral cortex kisha memory centre kutema kila kitu huku ukiwa conscous....sema hujui chochote kuhusu jinsi ubongo unavyohifadhi taarifa....hapa nikikuuliza unipe uhusiano jinsi informations zinavyoprocesiwa kwenye braini kisha kuwekwa kwenye long term na short term memory utaanza kumbwele...


Inshort ubongo wako unahifadhi kila ufahamu wako unapotambua kitu....sema rate ya kutemesha back informations toka kwenye memory centre kuja kwenye conscious area unatofautiana kati yamtu na mtu kulingana na neural circuit ya mhusika....ila hiyo point yako ya kudanganywa kuwa ili ubongo uhifadhi kitu ni lazima upoteze informations ni uongo mkubwa ...
short term na long term unamaanisha sijui kazi ya HYPOCAMPUS? mkuu sio kwamba haujui ila unajitahidi kujua kwa kufosi . Hivi unajua hata EFFECT ya NEUROGENESIS kwenye memory imparement?tuanzie hapo kwanza.
 
Mkuu umepotea mno ila hongera kwa kutukumbuka

Ngoja niulize kabla hujayeya tena _Ni hivi mkuu;

'Ikiwa huyo subject 1(original donor) kaweza kutengenezewa clone wake subject 2 na kupandikizwa hiyo chip nakuwa kama subject 1

je inawezekana kupata subject 3 kutoka kwa cell za clone (subject 2)..?

Na ikiwezekana je watatumia chip ile ile kurejesha kumbukumbu Ili awe kama original subject'..?
ok.mkuu.....chip zipo za aina tofauti kulingana na unataka uhavest nini...kuna implantable chip tangu mtu akiwa tumboni ambapo tutakuwa na access ya informations zote kupitia long term memory storage kama ambavyo serikali za canada na U.S.A zimeshasaini mikataba ya kupandika hicho chip kwa kila mama mjqmzito ili embryology nzima informations ziwe zishaconnectiwa kwenye implantable brain chip...

Lakini pia kuna subconscious mind aploading memory chip ambayo anaweza wekewa mtu yoyote katika umri wowote tu ili ku access informations alizonazo huyo mtu kichwani kwani tutakuwa tume shunt hiyo chip na Outsider Digital Memory Analyser....


Back to your question...

Inawezekana kabisa kupata another copy from the original clone na hiyo tutaita Intergrated Eugenic Cloning(IEC) ambapo tutahitaji kumaintain clone numbers za original clone...


Lakini ukisoma defn ya neno cloning ni production ya a copy of original subject lakini kama tutahitaji tupate another copy ya yule clone basi process hizo tunaziita Super Intergrated Eugenic Cloning ...

means you obtaion a number of copies from a produced clone....hii bado hawataki kurelease informatins zake na wanaitumia kuproduce late genius ...huu mpango upo kidunia kurudisha all genius passed kwa kuvisit makaburi yao kisha kuchukua DNA zao kisha kuproduceclone zao kisha kumaintain a number of copy ofthe clone kupitia complex intergrated cloning ...wataiweza tu ...

Eugenic super intergrated human cloning inafanyika kwa watu muhimu tu katika ulimwengu huu...mfano kama clone ya Tesla na Einstein zipo na wanahitaji kumaintain same copy ya hizo clones bas watafanya hiyo super intergrated cloning from a copy of the copy of the mother strand cell of the original subject.
 
short term na long term unamaanisha sijui kazi ya HYPOCAMPUS? mkuu sio kwamba haujui ila unajitahidi kujua kwa kufosi . Hivi unajua hata EFFECT ya NEUROGENESIS kwenye memory imparement?tuanzie hapo kwanza.
kwanini nisijue mkuu....basi ngoja tutembee na shule unayoitaka wewe...sikia mkuu kuna two regions in the brain zinazohusika na neurogenesis katika hypocampus region.

twende taratibu...

:kuna the dentate gyrus of the hippocampus na kuna the subventricular zone of the lateral ventricles.

so haya ndo maeneo muhimu kuruhusu neurogenic , other regions of the brain were considered to be primarily non-neurogenic in nature, implying that no new neurons were formed there under normal conditions. Recently, low proliferative activity was reported in the hypothalamus and the cell layers surrounding the third ventricle labda kuna eneo jingine unalolijua wewe nitajie...

kuna huyu mshenzi anaitwa William Gibson ni neural scientis mmoja mtata sana kapandikiza chip kwa baadhi ya wafungwa huko calfonia pamoja na huyu jamaa Rob Hampson wameshafanya experiment kibao kuhusu kuhamisha memory toka kwenye hypocampus region kwa kutumia electrode maalumu kimya kimya. ..ila hawataki kuweka mambo sawa make ni kinyume na human ethics ndo mana wanaishia kusema tumefanya experiment kwa panya tu ili kuficha informations nyeti but the real issue is inawezekana kabisa kufanya memory apload kwa binadamu....

Tunaweza process kuendeleza dentate cells over proriferation kupata total long term memory mkuu....hakuna linaloshindikana...
 
umeelewa swali mkuu?naomba urudie swali langu acha kuji complicate.
kwanini nisijue mkuu....basi ngoja tutembee na shule unayoitaka wewe...sikia mkuu kuna two regions in the brain zinazohusika na neurogenesis katika hypocampus region.

twende taratibu...

:kuna the dentate gyrus of the hippocampus na kuna the subventricular zone of the lateral ventricles.

so haya ndo maeneo muhimu kuruhusu neurogenic , other regions of the brain were considered to be primarily non-neurogenic in nature, implying that no new neurons were formed there under normal conditions. Recently, low proliferative activity was reported in the hypothalamus and the cell layers surrounding the third ventricle labda kuna eneo jingine unalolijua wewe nitajie...
 
umeelewa swali mkuu?naomba urudie swali langu acha kuji complicate.
tulia usipanic....neurogenesis inakuwa impared kwenye memory deficit in some patients( pts)..

Manake kama mtu ana memory imparement basi hata neurogenesis inaKuwa impared....but sikiliza nikwambie...cognitive hearing loss haimanisha kunakuwa na total memory loss kwa mtu but tital back up ya memory inakuwa impared...
naona bado hujaelewa kwanini watu wenye cognitive deficit wanakuwa na memory deficit....yani back up memory inaKuwa ndogo kufikia threshold value ndo mana wanashindwa kukumbuka na hii ni kwa sababu neurogenesis inakuwa ndogo hence spatial summation ya action potential ili kupeleka taarifa ili information stored ziletwe inakuwa ndogo hence no activation ya back up....

Kama una pathophysiology ya kwanini neurogenesis inakuwa impared kwenye cognitive (memory loss )tofauti na hiyo nambie wewe...

..ndo mana tiba sahihi ya kutibu memory deficit ni kuruhusu neural genesis kwenye hypocampas regions specifically maeneo y dentate na Third ventricle....kama hujanielewa fafanua swali lako vizuri twende sawa..
 
tulia usipanic....neurogenesis inakuwa impared kwenye memory deficit ptsb...

Manake kama mtu ana memory imparement basi hata neurogenesis inaKuwa impared....but sikiliza nikwambie...cognitive hearing loss haimanisha kunakuwa na total memory loss kwa mtu but tital back up ya memory inakuwa impared...
naona bado hujaelewa kwanini watu wenye cognitive deficit wanakuwa na memory deficit....yani back up memory inaKuwa ndogo kufikia threshold value ndo mana wanashindwa kukumbuka na hii ni kwa sababu neurogenesis inakuwa ndogo hence spatial summation ya action potential ili kupeleka taarifa ili information stored ziletwe inakuwa ndogo hence no activation ya back up....

Kama una pathophysiology ya kwanini neurogenesis inakuwa impared kwenye cognitive (memory loss )tofauti na hiyo nambie wewe...

..ndo mana tiba sahihi ya kutibu memory deficit ni kuruhusu neural genesis kwenye hypocampas regions specifically maeneo y dentate na Third ventricle....kama hujanielewa fafanua swali lako vizuri twende sawa..
ptsd(post traumatic stress dissorder) hii ni mojawapo ya fact ya memory loss lakini sijaona uwiano wake na neurogenesis MKUU.
Labda nikusaidie PTSD-ina induced memory impairment through enhancing cell proliferation in the hippocampus region. bado haujajibu swali langu naobaa umetoka nje ya mada kabisa .naomba ujibu swali mkuu
HOW NEUROGENESIS CAUSE MEMORY IMPAREMENT?
 
ptsd(post traumatic stress dissorder) hii ni mojawapo ya fact ya memory loss lakini sijaona uwiano wake na neurogenesis MKUU.
Labda nikusaidie PTSD-ina induced memory impairment through enhancing cell proliferation in the hippocampus region. bado haujajibu swali langu naobaa umetoka nje ya mada kabisa .naomba ujibu swali mkuu
HOW NEUROGENESIS CAUSE MEMORY IMPAREMENT?
kwanza mimi sijaongelea habari za Post traumatic disorders.huenda kile mifupi cha pts ulikinukuu vibaya....pts nilimanisha patients.
 
aise we jamaaa una matatizo sana....yani how neuragenesis cause memory imparement...?? wapi umeona nimesema neurogenesis inaleta deficit ya memory...?? au wewe ndo unauliza kuwa neurogenesisi inaletage memory loss...? labda nikujibu...soma vizuri malezo yangu hakuna sehemu nimeducument kuwa neurogenesis inaleta memory imparement ila neuragenesis ndo inaimprove memory capacity if occuring in some special brain parts....au umesoma andko gani hilo linalosena neurogenesis ina impare memory ..??

nipe hiyo post, namba ngap au umesoma wapi huko jinsi neuragenesis inavyoaffect memory..

NB . read between the lines utaelewa nilichozungumza
ptsd(post traumatic stress dissorder) hii ni mojawapo ya fact ya memory loss lakini sijaona uwiano wake na neurogenesis MKUU.
Labda nikusaidie PTSD-ina induced memory impairment through enhancing cell proliferation in the hippocampus region. bado haujajibu swali langu naobaa umetoka nje ya mada kabisa .naomba ujibu swali mkuu
HOW NEUROGENESIS CAUSE MEMORY IMPAREMENT?
 
aise we jamaaa una matatizo sana....yani how neuragenesis cause memory imparement...?? wapi umeona nimesema neurogenesis inaleta deficit ya memory...?? au wewe ndo unauliza kuwa neurogenesisi inaletage memory loss...? labda nikujibu...soma vizuri malezo yangu hakuna sehemu nimeducument kuwa neurogenesis inaleta memory imparement ila neuragenesis ndo inaimprove memory capacity if occuring in some special brain parts....au umesoma andko gani hilo linalosena neurogenesis ina impare memory ..??

nipe hiyo post, namba ngap au umesoma wapi huko jinsi neuragenesis inavyoaffect memory..

NB . read between the lines utaelewa nilichozungumza
ptsd(post traumatic stress dissorder) hii ni mojawapo ya fact ya memory loss lakini sijaona uwiano wake na neurogenesis MKUU.
Labda nikusaidie PTSD-ina induced memory impairment through enhancing cell proliferation in the hippocampus region. bado haujajibu swali langu naobaa umetoka nje ya mada kabisa .naomba ujibu swali mkuu
HOW NEUROGENESIS CAUSE MEMORY IMPAREMENT?
 
ptsd(post traumatic stress dissorder) hii ni mojawapo ya fact ya memory loss lakini sijaona uwiano wake na neurogenesis MKUU.
Labda nikusaidie PTSD-ina induced memory impairment through enhancing cell proliferation in the hippocampus region. bado haujajibu swali langu naobaa umetoka nje ya mada kabisa .naomba ujibu swali mkuu
HOW NEUROGENESIS CAUSE MEMORY IMPAREMENT?
you are not seriuz nigger.....sijaongelea habari za posttraumatic disorder mimi.....sasa kama ni post traumatic disorder si ningeandika ukaelewa kbisa.....

Cause of the memory loss including dementia ni nyingi sana...ukisoma na akina Alzehmers diseases utaelewa vizuri....

mpaka sasa hivi sijaelewa point yako ni ipi..unauliza jinsi gani neurogensis inaweza impare memory..??
kama ni hivo hakuna kitu kama hicho ila neural degeneration ndo inaweza leta memory loss....au ulimanisha neural degeneration mkuu...??..sema tusaidiane..make hakuna sehemu imeandikwa neurogenesis inaleta memory loss.....
 
Bado hautuelewani ok mi ndiyo nakuliza HOW NEUROGENISIS CAUSE MEMORY IMPAIRMENT?
aise we jamaaa una matatizo sana....yani how neuragenesis cause memory imparement...?? wapi umeona nimesema neurogenesis inaleta deficit ya memory...?? au wewe ndo unauliza kuwa neurogenesisi inaletage memory loss...? labda nikujibu...soma vizuri malezo yangu hakuna sehemu nimeducument kuwa neurogenesis inaleta memory imparement ila neuragenesis ndo inaimprove memory capacity if occuring in some special brain parts....au umesoma andko gani hilo linalosena neurogenesis ina impare memory ..??

nipe hiyo post, namba ngap au umesoma wapi huko jinsi neuragenesis inavyoaffect memory..

NB . read between the lines utaelewa nilichozungumza
 
nina akili timamu kukuuliza hili swali na ninaomba jibu au una limitation ya knowledge mkuu?
you are not seriuz nigger.....sijaongelea habari za posttraumatic disorder mimi.....sasa kama ni post traumatic disorder si ningeandika ukaelewa kbisa.....

Cause of the memory loss including dementia ni nyingi sana...ukisoma na akina Alzehmers diseases utaelewa vizuri....

mpaka sasa hivi sijaelewa point yako ni ipi..unauliza jinsi gani neurogensis inaweza impare memory..??
kama ni hivo hakuna kitu kama hicho ila neural degeneration ndo inaweza leta memory loss....au ulimanisha neural degeneration mkuu...??..sema tusaidiane..make hakuna sehemu imeandikwa neurogenesis inaleta memory loss.....
 
Back
Top Bottom